Mufti Abubakar: Katika Uislam Kutii Viongozi wa Dini na Serikali ni Ibada, Waislamu zingatieni sana agizo hili

Mufti Abubakar: Katika Uislam Kutii Viongozi wa Dini na Serikali ni Ibada, Waislamu zingatieni sana agizo hili

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Mufti wa Tanzania Shehe Abubakar Zuber amesema katika Uislam Kutii Viongozi wa Dini na Serikali ni Ibada

Hivyo Waislamu wote wanatakiwa kuwa makini kuzingatia mafundisho haya ya utii ambayo yataendelea kutolewa na Mashehe mbalimbali

Source: Upendo Tv
Ndio maana hata ukiambiwa jifunge mabomu ukalipue watu pale utakuta bikira saba wa kiarabu wanakusubiri ahera unatii tu bila hata kufikiri
 
Mufti wa Tanzania Shehe Abubakar Zuber amesema katika Uislam Kutii Viongozi wa Dini na Serikali ni Ibada

Hivyo Waislamu wote wanatakiwa kuwa makini kuzingatia mafundisho haya ya utii ambayo yataendelea kutolewa na Mashehe mbalimbali

Source: Upendo Tv
na huo ndio usilamu safi na nadhifu ulivyo duniani kote, kwa maneno na matendo 🐒
 
Huyu mufti ni uchafu tu

Uislam unakataa dhulma, uislam unakataza uonevu uislam unakataza kila aina ya ushetani lakini hao masheikh ubwabwa wa bakwata wanaunga mkono utekaji na mambo ya kipuuzi ya kuikingia kifua utawala wa hichi kibibi

Hatuna masheikh tuna wahuni tu pale

Hatuna masheikh tuna wapuuzi tu

Hatuna masheikh tuna tuna majambazi ya kijani yalovaa nguo za dini

Hatuna masheikh tunatuna mafisadi tu na majizi yalokaa kwenye mgongo wa dini

Hatuna masheikh tuna wapumbavu tu ambao hata certificate ya elimu dunia hawana

Wale ni wapuuzi tu ndo maana wanaharahara baada ya kushiba hongo za bure na vijizawadi kutoka kwa watawala

Shame on you Bakwata nyie ni waovu wakubwa na makhabithi wa karne hii mlaaniwe kabisa

Naona haya kuwa muislam kwasababu ya hawa vibaka waliojificha kwenye viongozi wa dini

Taasisi lenyewe kama ccm tu miaka 60 bakwata hawana hata shimo la choo wala shule ya maana halafu wanajiita taasisi Hovyo kabisa!!

Hamna mashheikh pale kuna shehena za wapuuzi tu
 
Huyu mufti ni uchafu tu

Uislam unakataa dhulma, uislam unakataza uonevu uislam unakataza kila aina ya ushetani lakini hao masheikh ubwabwa wa bakwata wanaunga mkono utekaji na mambo ya kipuuzi ya kuikingia kifua utawala wa hichi kibibi

Hatuna masheikh tuna wahuni tu pale

Hatuna masheikh tuna wapuuzi tu

Hatuna masheikh tuna tuna majambazi ya kijani yalovaa nguo za dini

Hatuna masheikh tunatuna mafisadi tu na majizi yalokaa kwenye mgongo wa dini

Hatuna masheikh tuna wapumbavu tu ambao hata certificate ya elimu dunia hawana

Wale ni wapuuzi tu ndo maana wanaharahara baada ya kushiba hongo za bure na vijizawadi kutoka kwa watawala

Shame on you Bakwata nyie ni waovu wakubwa na makhabithi wa karne hii mlaaniwe kabisa

Naona haya kuwa muislam kwasababu ya hawa vibaka waliojificha kwenye viongozi wa dini

Taasisi lenyewe kama ccm tu miaka 60 bakwata hawana hata shimo la choo wala shule ya maana halafu wanajiita taasisi Hovyo kabisa!!

Hamna mashheikh pale kuna shehena za wapuuzi tu
Watekaji wanafir* watu (baadhi ya waliotekwa inadaiwa walifanywa hivo) lakini sheikh anaona sawa tu
 
Mufti wa Tanzania Shehe Abubakar Zuber amesema katika Uislam Kutii Viongozi wa Dini na Serikali ni Ibada

Hivyo Waislamu wote wanatakiwa kuwa makini kuzingatia mafundisho haya ya utii ambayo yataendelea kutolewa na Mashehe mbalimbali

Source: Upendo Tv
Sawa kuanzia leo nitaanza kuzingatia na kumtii shehe Mwaipopo
 
Katika aya inayotumiwa vibaya ni hii
Alioisema sheikh hakuna kumtii kiumbe katika kumuasi Allah
Hawa kina ssh na serikalini yao asilimia tisini na 9 pointi 9 wanamuasi Mungu wao wana pombe halali na haramu wao riba halali wao liwati ni haki za binaadam
Hawa ndio wale aliowataja mtume kuwa Kun zama zitafika za wanazuoni wa ovyo ndio zama hizi wanaiuza dini kwa thamani ndogo ya dunia
 
Back
Top Bottom