Synthesizer
Platinum Member
- Feb 15, 2010
- 12,699
- 22,598
Mkuu Pascal, hadi utakaposikia watu wamepewa amri wakupotezee mbali wewe ni tishio kwa maslahi yao, ndipo utabadili msimamo wa kuunga mkono hoja!Naunga mkono hoja
P
In fact Mkuu, si wote wanapewa nafasi kwenda kujitetea Bungeni, wewe walikustahi sana. Wengine wanapotezewa bila kupewa fursa kama uliyopewa