pilipili kichaa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 18,406
- 14,643
99. Maandamano na migomo yanafanya hali kuwa mbaya zaidi
Swali 99: Wako wenye kuona pindi ummah unapofikwa na janga au mtihani basi wanaitisha migomo na maandamano dhidi ya watawala na wanazuoni ili maombi yao yaweze kusikizwa. Unasemaje kuhusu njia hizi?
Jibu: Madhara hayaondoshwi kwa madhara mengine. Kukitokea tukio lenye madhara au maovu basi halitakiwi kutatuliwa kwa maandamano, migomo au uharibifu. Huu ndio ufumbuzi. Huku ni kuzidisha shari. Ufumbuzi ni kuwasiliana na wahusika na kuwanasihi na kuwabainishia lililo la wajibu juu yao pengine wakayaondosha madhara haya. Ima waliondoshe na la sivyo wananchi wanatakiwa kufanya subira kwa ajili ya kuepusha madhara makubwa zaidi kuliko.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Ajwibah al-Mufiydah ´an As-ilat-il-Manaahij al-Jadiydah, uk. 234
Imechapishwa: 07/08/2024
taaliki: Shaykh Jamaal bin Furahyaan al-Haarithiy
99. Maandamano na migomo yanafanya hali kuwa mbaya zaidi
Swali 99: Wako wenye kuona pindi ummah unapofikwa na janga au mtihani basi wanaitisha migomo na maandamano dhidi ya watawala na wanazuoni ili maombi yao yaweze kusikizwa. Unasemaje kuhusu njia hizi…firqatunnajia.com
Mzee mwenzangu, kuna tuhuma kwamba wewe ndie uliemchoma Eric Kabendera, kwa mamlaka,It's very true ni Mungu tuu!, siku zote namshukuru sana Mungu, Ben Saanane tulikuwa tunawasiliana sana in box!.
P
Hao wote hawafuati mafundisho sahihi ya uislamuNa ile jino kwa jino ilitoka wapi? Mbona mnatuchanganya Sasa, Houthi, Hezibola, ISIS na Ali shabab plus Boko haram wanatii serikali wale?
Endelea kusubiri mabikra 72 na mito ya pombe.Japo yesu kristu haujui na wala hakuwa mkristu
Kutoka Geita kwenye Baraza la Maulid 😂😂Source : Upendo TV ???
Ulitekwa lini?umeuwawa lini?Kwa hiyo hata kama wanatuteka na kutuua tuendelee kuwatii?viongozi wanaokiuka miiko ya uongozi lazima wawajibishwe Kwa nguvu na siyo kuwatii
Kweli mkuu.Katika aya inayotumiwa vibaya ni hii
Alioisema sheikh hakuna kumtii kiumbe katika kumuasi Allah
Hawa kina ssh na serikalini yao asilimia tisini na 9 pointi 9 wanamuasi Mungu wao wana pombe halali na haramu wao riba halali wao liwati ni haki za binaadam
Hawa ndio wale aliowataja mtume kuwa Kun zama zitafika za wanazuoni wa ovyo ndio zama hizi wanaiuza dini kwa thamani ndogo ya dunia
Yesu kishaanza kutwanga pombe huko kwa baba yake,tutaungana nae inshallahEndelea kusubiri mabikra 72 na mito ya pombe.
Alichosema mufti ni sawa, ndiyo maagizo ya Quran hayo, turejee kwenye tafsiri ya Quran 4:59 inasema:-Mufti na Shekh Mkuu wa Tanzania Alhaji Dkt. Abubakar Zuber amesema katika Uislam Kutii Viongozi wa Dini na Serikali ni Ibada
Hivyo Waislamu wote wanatakiwa kuwa makini kuzingatia mafundisho haya ya utii ambayo yataendelea kutolewa na Mashehe mbalimbali.
Soma Pia: Mufti Mkuu Dkt. Abubakar: Tusisumbuliwe na fikra za Watu au kikundi cha watu. Muislamu haambiwi jambo akaenda tu, msifuate mkumbo
Source: Upendo Tv
Masheikh walioipinga serikali ya muingereza walikosea?Alichosema mufti ni sawa, ndiyo maagizo ya Quran hayo, turejee kwenye tafsiri ya Quran 4:59 inasema:-
Enyi mlio amini! Mt'iini Mwenyezi Mungu, na mt'iini Mtume na wenye madaraka katika nyinyi. Na mkizozana katika jambo basi lirudisheni kwa Mwenyezi Mungu na Mtume, ikiwa mnamuamini Mwenyezi Mungu na Siku ya Mwisho. Hayo ndiyo bora zaidi na ndiyo yenye mwisho mwema.
Kiongozi hatakiwi kuteka na wala raia hatakiwi kutekwa na wala kujiweka katika hali ya kutekwa.Kwa hiyo hata kama wanatuteka na kutuua tuendelee kuwatii?viongozi wanaokiuka miiko ya uongozi lazima wawajibishwe Kwa nguvu na siyo kuwatii
Na mkizozana katika jambo basi lirudisheni kwa Mwenyezi Mungu na Mtume, ikiwa mnamuamini Mwenyezi Mungu na Siku ya Mwisho. Hayo ndiyo bora zaidi na ndiyo yenye mwisho mwema.Masheikh walioipinga serikali ya muingereza walikosea?
Just be careful my brother, keep on being smart and wise, without forgetting to be cautious. Hawa watu hawa-rationalize.It's very true ni Mungu tuu!, siku zote namshukuru sana Mungu, Ben Saanane tulikuwa tunawasiliana sana in box!.
P
Kwa wale ambao wanaona maandishi yako yanaleta ufikirisho kwa wanaokusoma na kutishia uendelevu wa maslahi yaoDuh...!, mimi ni tishio kwa maslahi yao akina nani hao?.
P
Kweli kabisa ni ibada HARAMU kuwatii viongozi wa dini na serikali walioungana kutenda na kutetea uovu ktk jamii.Mufti na Shekh Mkuu wa Tanzania Alhaji Dkt. Abubakar Zuber amesema katika Uislam Kutii Viongozi wa Dini na Serikali ni Ibada
Hivyo Waislamu wote wanatakiwa kuwa makini kuzingatia mafundisho haya ya utii ambayo yataendelea kutolewa na Mashehe mbalimbali.
Soma Pia: Mufti Mkuu Dkt. Abubakar: Tusisumbuliwe na fikra za Watu au kikundi cha watu. Muislamu haambiwi jambo akaenda tu, msifuate mkumbo
Source: Upendo Tv
Serikali ya muingereza ni walikuwa wenye madaraka katika sisi?Masheikh walioipinga serikali ya muingereza walikosea?
Serikali ya muingereza ni walikuwa wenye madaraka katika sisi?
Enyi mlio amini! Mt'iini Mwenyezi Mungu, na mt'iini Mtume na wenye madaraka katika nyinyi.