Kazakh destroyer
JF-Expert Member
- Nov 16, 2017
- 3,278
- 6,843
Ahahhah mwambie mteja tu mkuu, usisahau kupitia samaki kau kau wa kukaanga kwenye sinia, pale mbele kuna mwamba anawapepea nzi kwa mkono.Khaaa niseme salam zinatoka kwa nani..?
Mana ndo chimbo langu hilo hata kesho naenda pale kuchukua mzigo