Mufti athibitisha kuandama kwa mwezi Eid kesho, kesho April 10,2024

Mufti athibitisha kuandama kwa mwezi Eid kesho, kesho April 10,2024

Ahahhah mwambie mteja tu mkuu, usisahau kupitia samaki kau kau wa kukaanga kwenye sinia, pale mbele kuna mwamba anawapepea nzi kwa mkono.
Huyu mzee nimetoka hapa sasa hivi. Kafunga MOTISHA..
Huyo wa samaki nae bado mpaka juoni ndo anakuepo....
Pembeni yake kuna wale wa maziwa
😂😂😂👊👊👊👊👊
 
 
Huyu mzee nimetoka hapa sasa hivi. Kafunga MOTISHA..
Huyo wa samaki nae bado mpaka juoni ndo anakuepo....
Pembeni yake kuna wale wa maziwa
😂😂😂👊👊👊👊👊
Hahaha nimecheka sana mkuu, kuna na wasukuma pale wamefungua genge wapo? ndizi za elfu 1 kukuandalia mpaka kukukabidhi na change yako inachukua kama nusu saa hivi, ila watu wanajilipua sana yale maziwa ni ya ng'ombe kweli?.
 
Back
Top Bottom