Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
The moon and the crescent are two different things. Waislamu wanafunga na kufungua kwa kiangalia kitu kwa kiarabu kinaitwa هلال (crescent)na hawaangalii قمر (moon) na kilichoonekana jana ni moon na siyo crescent.Mwezi umeonekana kote duniani Jana tarehe 8 April 2024. Je huu wa Leo ni WA Dunia gani. Imebidi watangaze tu Ili kuficha aibu ya dini Bado Ina mambo ya kale ya kuangalia mwezi angani wakati Dunia ya Sasa inaendeshwa Kwa Sayansi na teknolojia.
tupeane mwalikoAlhamdulillah huku kwetu tayari msikitini ni Takbeerat Al Eid inasikika sasa hivi.
Cha Mtume uhakika kesho.
😁😁😄😄😄😄Basi una mguu uliokakamaa hatari!😂😂😂😂😂😂😂Acha uongo ,mguu wa kikee
The moon and the crescent are two different things. Waislamu wanafunga na kufungua kwa kiangalia kitu kwa kiarabu kinaitwa هلال (crescent)na hawaangalii قمر (moon) na kilichoonekana jana ni moon na siyo crescent.Huu mwezi ulioonekana leo una tofauti na ule ulionekana jana kule America wakati wa kupatwa kwa jua?
adriz
Yaani mufti Kachana mkekaIjumaa imekuka kwao haliwezekani kabisa
Mi mwenyewe sijasikia ila nimeona zanziber ndo wametangazaKwamba mtaani kwetu hamna msikiti au? Sina nachokisikia
Samaleko
Hivi Zbr wana Mufti wao kwanini huyu anajiita Mufti wa Tanzania kwanini asijiite Mufti wa Tanganyika
Chezea njaa ya kuvunja jungu wewe...Wangebisha wangekutana na umati wa waislamu nje ya ofisi.
Wakati huu naona wameacha siasa zao.
Bff kesho nakuja kwako upike biriani vizuri sasa 😜Yaani mufti Kachana mkeka
Mbona Kigoma mwezi umeandama mapema tu?Var anayo motsepe hamuwezi kuuona mapema...