Fursakibao
JF-Expert Member
- Dec 12, 2017
- 6,813
- 11,540
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi hata sasa hv kazini natega hadi j3Siku kama ya kesho ilikuaga siku ya kutega shule mpaka jumatatu
Ijumaa imekuka kwao haliwezekani kabisaNimekaa page ya Millard ayo nasubiri apost
Maana naona dalili ya kugombana na HR kabisa
Suusaaaa, kwa sauti ya manaraUnanidanganya sana.. haya kula peke yako Eid. 🤣🤣 M Z A N Z I B A R I View attachment 2958934
Mi kuna jambo linanichanganya kidogo!Endelea kusubiri, mi nimesema kwetu sio baraza Mkuu.
Dah umereply kwa unyenyekevu wa hali ya just.......😂😂😂Cna mkuu wangu
Na vikuku tenaMtokoo wa ckuku
View attachment 2958896
Santo sana kwa mwongozo lo
Bakwata Kwa mara ya Kwanza wameona aibu.Alhamdulillah huku kwetu tayari msikitini ni Takbeerat Al Eid inasikika sasa hivi.
Cha Mtume uhakika kesho.
Naona mnakula zilipendwa hapo Ankali.Bakwata Kwa mara ya Kwanza wameona aibu.
Wangebisha wangekutana na umati wa waislamu nje ya ofisi.Bakwata Kwa mara ya Kwanza wameona aibu.
Mufti kachana mkeka 😂😂Suusaaaa, kwa sauti ya manara
Kwa nini bro unavaa kikuku mguuni? Hivi inakubalika kwa mwanaume kweli?Mtokoo wa ckuku
View attachment 2958896
Tulale aisee.Wengine tumekaa roho juu
Kesho tuzame vibaruani au tulale
Mguu wa kike huoKwa nini bro unavaa kikuku mguuni? Hivi inakubalika kwa mwanaume kweli?
Hatualikani Dada yangu?Alhamdulillah huku kwetu tayari msikitini ni Takbeerat Al Eid inasikika sasa hivi.
Cha Mtume uhakika kesho.
😁😁😁😄😄😄😄Mguu wa kike huo
Kwani hiyo picha ni ya mwanaume?Kwa nini bro unavaa kikuku mguuni? Hivi inakubalika kwa mwanaume kweli?