miviga
JF-Expert Member
- Jan 27, 2024
- 1,721
- 6,037
Nakuja PM, usinitengeMtokoo wa ckuku
View attachment 2958896
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakuja PM, usinitengeMtokoo wa ckuku
View attachment 2958896
TulaleWengine tumekaa roho juu
Kesho tuzame vibaruani au tulale
PrimitivityWatu tumeshajikoki tayari kufinya cha mtume, hao bakwata bado tu wanajimumunya?
View attachment 2958891
Tunafungulia kila kituNdugu zangu tafadhali beki zikabe, msifungulie pombe wala zinaa kesho tafadhali sana tujishikilie
Hakika tunaweza
Chamtume kifinywe kwenye kiduaraP
Primitivity
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Watumishi tuko kama wanafunzi [emoji16]
UshafinguliaMademu mnaovaaga hivyo mnakuwaga watamu sana wallah.😋
Tayari bossTunasubiria
TayariUshafingulia
Hiyo usisubiri taarifa, leo ni siku ya 30 hivyo iwe jua au mvua kesho ni Eid.Bado mpka sasa sijaona taarifa ya kuaminika
Hii ni kote Bara na Visiwani 🤔 maana Bara hakuna taarifa yoyote mpaka sasa
Karibia hapa Kimara Mwisho.Naombeni mwaliko vipenzi😋sina allergy na chochote, nakula kama fundi
Asanteni.
We acha tu. Yaani Mufti asingetangaza angezungua sana😂😂😂 mtumishi hapo ashapanga safari yan