Mufti athibitisha kuandama kwa mwezi Eid kesho, kesho April 10,2024

Mufti athibitisha kuandama kwa mwezi Eid kesho, kesho April 10,2024

Ndugu zangu tafadhali beki zikabe, msifungulie pombe wala zinaa kesho tafadhali sana tujishikilie

Hakika tunaweza
 
Niliko kuwepo naona maandalizi ya kesho yamekwivaa.
Eid El Fitr!!! [emoji286]
 

Attachments

  • IMG-20240409-WA0074.jpg
    IMG-20240409-WA0074.jpg
    80.4 KB · Views: 2
Hii ni kote Bara na Visiwani 🤔 maana Bara hakuna taarifa yoyote mpaka sasa
 
Back
Top Bottom