Huyu mzee nimetoka hapa sasa hivi. Kafunga MOTISHA..
Huyo wa samaki nae bado mpaka juoni ndo anakuepo....
Pembeni yake kuna wale wa maziwa
ππππππππ
Huyu mzee nimetoka hapa sasa hivi. Kafunga MOTISHA..
Huyo wa samaki nae bado mpaka juoni ndo anakuepo....
Pembeni yake kuna wale wa maziwa
ππππππππ
Hahaha nimecheka sana mkuu, kuna na wasukuma pale wamefungua genge wapo? ndizi za elfu 1 kukuandalia mpaka kukukabidhi na change yako inachukua kama nusu saa hivi, ila watu wanajilipua sana yale maziwa ni ya ng'ombe kweli?.