Tatizo nalo ona hapa juu ya suala hili si kuwa wakristo wanauchungu na nchi yao bali tatizo ni athari za umasikini ndo zinapelekea wawe hivyo. Kwani hamna hoja hata moja wametoa yenye mashiko zaidi ya kusema waislam hawana uwezo wakujenga hoja , nakuwakejeli, kuwadharau na mambo kama hayo, so utaona yote haya ni athari za umasikini zinazo mfanya kila mtu awe mbinafsi, jamani angalieni hoja ya Mboma mkuu wa majeshi mstaafu alivyolielezea jambo hili kibusara, hao ndo watu tunawataka, watu kutoka na hasira za njaa na kuanza kuiamrisha serikali isikubaliane na masuala yanayotolewa na wananchi kama wao,waislam hawjaiamrisha serikali iwe na mahakama ya kadhi ,ila inaimba serikali ilifanyie kazi.
Kinachoshangaza zaidi nipale wakiristo kuwa na ilani za vyama vyao nao kuzitumia kama ndo muongozo wa nchi, manake wanadai wataka serikali itekeleze, sasa tujue nao ni chama cha upinzani au chama cha dini? Jamani tuipende nchi yetu, tusijisahau sana manake tutaenda pabaya, Lora nkunda nae alikua anajifanya ni mwanadini , lakini akafanya aliyofanya na kusababisha mauji na dhiki kwa wanakongo, jamani tunajisau mnoo, wengine mnaingilia hata madaraka ya nchi.