Mugabe noma sana aise


Hawa wote ndio wateule wa mkweree; wao kauli mbiu yao ilikuwa " PONDA MALI KUFA KWAJA" baada ya boss wao kugundulika alikuwa na maradhi ya tezi dume!!
 
@_@
 
Ngoja niangalie list ya Panama papers kama hayumo lakini mengine ni ya kumtungia tu ameifikisha nchi kubaya sana
 
White toilet paper can rape your *ss unknowingly
Hawa wote ndio wateule wa mkweree; wao kauli mbiu yao ilikuwa " PONDA MALI KUFA KWAJA" baada ya boss wao kugundulika alikuwa na maradhi ya tezi dume!!
kiongozi umemaliza kila kitu aise alafu tunasema zimbabwe wana maisha magumu wakati tuko sawa tena inawezekana akawa ametuzidi maana GDP yetu ktk bara zima la afrika ni ya chini kuliko inchi yeyote ata zile zenye vifa mf congo,sudan wametuzidi
 
Hahaaaaaa!
Waanze mchakato wa kutengeneza a BLACK TOILET PAPER.
Hapo hawakuona mbele, nafikiri hata kwenye codes upande wa computer, zeros (0000) inawakilisha BLACK. Ila kama wao wanatufuta uchafu, haina mbaya!
 
Huyu mzee anajielewaga sana
 
Kwa wasio mfahamu ndo mnasema mfalme kwanza ana mahotel makubwa wakati wananchi wake wanakuafa njaa amejilimbikizia mali
suala la kujilimbikizia mali kwa viongozi wa afrika mbona ndiyo kama mila na destuli ss tunaongelea ujasiri wake mbona ata bongo watu wanapiga hela tu mdau kama nssf,tra,tpa etc
 
suala la kujilimbikizia mali kwa viongozi wa afrika mbona ndiyo kama mila na destuli ss tunaongelea ujasiri wake mbona ata bongo watu wanapiga hela tu mdau kama nssf,tra,tpa etc

Ujasiri wake aumsandii chochote wakati raia wanateseka nafikiri mwezi wapili nchi yake ilikubwa na njaa akaomba msaada kwa watu weupe uo niuendawazimu labda gadaffi ndo naweza kuelewa lkn mugabe amekua mbabe wa mdomo wakati wananchi wako wanakufa njaa
 
Hapana kiongozi Mugabe ndiyo Mwanasiasa mahiri aliyebaki katika bara la afrika wengine wazugaji tu hakuna jipya
Kiongozi asie na mikakati kiuchumi hana sifa ya umahiri.Kiongozi mwenye chuki busara zipo mbali naye.
 
kiongozi umemaliza kila kitu aise alafu tunasema zimbabwe wana maisha magumu wakati tuko sawa tena inawezekana akawa ametuzidi maana GDP yetu ktk bara zima la afrika ni ya chini kuliko inchi yeyote ata zile zenye vifa mf congo,sudan wametuzidi
source mkuu
 
viongozi wa afrika akili zao znafanana................
wote
sijajua jpm tumpe muda tutamjua2
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…