Una uhakika gani hao unao wataja wata click? vp wakifika wakawa flopOkwaa na Manzoki wakitua hapo basi case kwishaaa, tatizo simba inaona aibu kuwaacha wachezaji eti kisa walitusaidia, sio kuhusu pesa,
Mfano match tuliyofungwa 2, kocha akasema ni kukosekana kwa kiungo mkabaji box to box mildfrider, ndo wakaamua waanze kumrejesha Kanoute, ila wao walitaka wamuuze, wakamuweka kwan pending, naamini watajua Kanoute ana umuhimu wake, maana wana mu underate sana.
Mambo ya wenzetu usiyalete huku usajiri wa Europe upo wazi sana sisi huku ni siri sasa hivi una taarifa za De Jong kuondoka niambie huku kwetu hizo mambo zipo?Barca wameenda preseason na De jong na bado wanampango wa kumuacha, vitu vingine hata sio vya kushangaa.
Chiko hakusajiliwa na Yanga alikuja kwa mkopo kwa makubaliano ya kusajiliwa tumia akili japo najua hunaKuna wakati viongozi wa simba nao wanajichanganya. Tatizo la wachezaji wa Safu ya ushambuliaji lilionekana hata kwa mtu asiyejua mpira...
Elezeni Ukweli ziliko B20 vinginevyo....laana ya kumnyang'anya Timu mzee kilomoni...Tatizo lilikopo simba ni mgogoro wa viongozi, unatafuna ndani kwa ndani. Yaan sijui hata nn kifanyike. Khaaaah.
Sorry bhanaa, relaaax.wewe Phiri umemjulia JF
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndo mnachopendaa kusikia utopolooo, khaaaaah.Elezeni Ukweli ziliko B20 vinginevyo....laana ya kumnyang'anya Timu mzee kilomoni...
Kufoji hati miliki za Jengo kwa kushirikiana na Makonda kumpa muhindi ili anunue Timu kwa B20 za Mchongo hakutawaacha salama..
Nani alikuambia usajiri wao huwa uko wazi? Au kisa huwa zinavuja ndio maana unasema hivyo. Taarifa za De jong zimevuja na ndio maana ninazo, hata huku pia taarifa huvuja. Kwani nani kawa signed na Simba na watu walikuwa hawajui kabla?Mambo ya wenzetu usiyalete huku usajiri wa Europe upo wazi sana sisi huku ni siri sasa hivi una taarifa za De Jong kuondoka niambie huku kwetu hizo mambo zipo?
Nina uhakika ndiyoooo!Una uhakika gani hao unao wataja wata click? vp wakifika wakawa flop
[emoji23][emoji23]Kuna wakati viongozi wa simba nao wanajichanganya. Tatizo la wachezaji wa Safu ya ushambuliaji lilionekana hata kwa mtu asiyejua mpira.
Mugalu ligi inaisha hana goli hata Moja halafu majeruhi kila siku. Bado unamkumbatia unaenda naye pre- season kwa gharama kubwa.
Kagere tatizo ni umri. Moyo unataka mwili unagoma.
Lwanga tatizo lake ni majeruhi.
Kigezo cha kocha kusajili ni sawa , lakini wakati mwingine napo ni patapotea kama utakutana na kocha mpiga madili. Mfano , Nabi kamsajili chiko ushindi . Leo hii chiko Yuko wapi?
Kuna kocha fulani wa Yanga jina nalihifadhi alipewa Kazi ya kusajili lakini kilichotokea kila mtu ni shaihidi. Alienda kuwazoa hakina Kindoki (kipa), PAPAA moringa (toto ya ndama) , Surpong (Mwili jumba) , Maybin karengo na Yipe Yanga kikawa kichekesho.
Itoshe tu kusema wakati mwingine usajili ni kama kamali.kuna kupata au kuliwa.
Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
Unakumbuka guadiaola anakuja city, taarifa alizipata wakati huo Manuel peregrine alikuwa mzigoni city, jamaa akanza kusuggest wachizaje ambao angalau angependa wawemo kwa kuanzia!Muda wa kufanya hayo yote upo wapi kumbuka sasa hivi zimebaki week tatu ligi ianze
Hapa pana shida kubwa Sana, siku wakibadilika, timu zetu zitakuwa zamoto Sana!Tatizo la hizi timu kubwa za Tanzania ni kwamba, usajili hua ni dili kubwa sana kwa viongozi wa hivyo vilabu ndio maana wanalazimisha wenyewe ndio wahusike kwenye zoezi zima.
Tusidanganyane, Simba na Yanga mkimuachia kocha afanye usajili, imekula kwenuNdio matatizo ya uongoz kusajili badala ya kocha. mambo ya kijima kabisa
Okwaa na Manzoki wakitua hapo basi case kwishaaa, tatizo simba inaona aibu kuwaacha wachezaji eti kisa walitusaidia, sio kuhusu pesa,
Mfano match tuliyofungwa 2, kocha akasema ni kukosekana kwa kiungo mkabaji box to box mildfrider, ndo wakaamua waanze kumrejesha Kanoute, ila wao walitaka wamuuze, wakamuweka kwan pending, naamini watajua Kanoute ana umuhimu wake, maana wana mu underate sana.
Kuna mgogoro kati ya nani na nani kwenye uongozi ?Tatizo lilikopo simba ni mgogoro wa viongozi, unatafuna ndani kwa ndani. Yaan sijui hata nn kifanyike. Khaaaah.
PropagandaTetesi zinasema mastraika wa kigeni wawili, Maddie Kagere na Chris Mugalu, pia kiungo Thadeo Lwanga hawajam-impress kocha zoran na kutanabaisha kabisa kuwa hawako kwenye mipango yake msimu huu na hivyo kuwaambia viongozi wao wamalizane nao haraka sana!
Pia taarifa zaidi zinasema , hata miongoni mwa wachezaji wapya waliosajiliwa, Kuna mmoja Hana viwango huku amenunuliwa kwa mpunga mrefu!
Viongozi wetu wa Simba sports club kama tutahitaji kufikia malengo, Basi msikilizen kocha anavyotaka, sio tung'ang'ane na mafikirio yetu , mwisho wa siku tumfukuze kimazoea.
My take: Ni muhimu kabla hatujaanza kusajili tumshirikishe kocha, kocha aweke majina ya watu ambao anauhakika na uwezo wao kulingana na mfumo wake.
View attachment 2307869View attachment 2307880
Hata wewe ?Viongozi wa Simba Wana ujinga Fulani kwani sisi mashabiki tulishasema hao wachezaji waachwe lakini wakawa na kigugumizi sijui Kuna percent wanachukua
Mugalu katucost sana Kwa kukosa goli za wazi na majeruhi mara Kwa mara,, lwanga form haijarudi na Kagere sijui nini kimemkuta, bocco anabebwa sababu ya uzawaHata wewe ?