mshale21
JF-Expert Member
- Apr 8, 2021
- 2,126
- 5,068
Tetesi zinasema mastraika wa kigeni wawili, Maddie Kagere na Chris Mugalu, pia kiungo Thadeo Lwanga hawajam-impress kocha zoran na kutanabaisha kabisa kuwa hawako kwenye mipango yake msimu huu na hivyo kuwaambia viongozi wao wamalizane nao haraka sana!
Pia taarifa zaidi zinasema , hata miongoni mwa wachezaji wapya waliosajiliwa, Kuna mmoja Hana viwango huku amenunuliwa kwa mpunga mrefu!
Viongozi wetu wa Simba sports club kama tutahitaji kufikia malengo, Basi msikilizen kocha anavyotaka, sio tung'ang'ane na mafikirio yetu , mwisho wa siku tumfukuze kimazoea.
My take: Ni muhimu kabla hatujaanza kusajili tumshirikishe kocha, kocha aweke majina ya watu ambao anauhakika na uwezo wao kulingana na mfumo wake.
Pia taarifa zaidi zinasema , hata miongoni mwa wachezaji wapya waliosajiliwa, Kuna mmoja Hana viwango huku amenunuliwa kwa mpunga mrefu!
Viongozi wetu wa Simba sports club kama tutahitaji kufikia malengo, Basi msikilizen kocha anavyotaka, sio tung'ang'ane na mafikirio yetu , mwisho wa siku tumfukuze kimazoea.
My take: Ni muhimu kabla hatujaanza kusajili tumshirikishe kocha, kocha aweke majina ya watu ambao anauhakika na uwezo wao kulingana na mfumo wake.