Peramiho yetu
JF-Expert Member
- May 25, 2018
- 5,303
- 14,983
Kwakweli hata mimi huyu Kibabage huwa simuelewi kabisa. Mzize naye kama anaanza kuridhika na alipo. Sion extra efforts.Nimeangalia mechi zote mbili ile ya Algeria na hii hapa ya kwa mkapa dhid ya Al alhly nachelea kusema pale hamna kocha wa mbinu
Mbinu pekee aliyonayo n kupress kwa kas basi na Wala hamuheshimu mpinzani wake hata kidogo
Katika mpira lazma kocha uweze kubadirika Kutoka na mpinzani wako anavyocheza lakn huyu Hana muda huo yeye n kasi kasi kasi basii ndyo anachojua
Mechi ya Algeria timu ingeweza hata kupata sare lakn hakumheshimu mpinzani wake hata kidogo
KOCHA NABI aliweza kucheza kwa mbinu japo zpo mech alizopoteza lakn alionesha mbinu za kimchezo
Kibabage hawez kumzid FARID MUSA Hana control mguuni Wala kumwaga maji sijui nn kimemkuta Farid Musa
Muda n mwalimu mzuri mkuuHujihelewi ww.
Na iwe hivyo..... Kikosi kinahitaji maboresho kidogo tu....Timu isikamatike Ligi yetu na kumsumbua Afrika.Tusubiri dirisha dogo strikers wataongezeka Mzize atajifunza kwa hao...pia kuna winger kutoka TP....
Sio rahisi kama tunavyodhania, Yanga bado sana kwenye mashindano ya Club Bingwa.Na iwe hivyo..... Kikosi kinahitaji maboresho kidogo tu....Timu isikamatike Ligi yetu na kumsumbua Afrika.
Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
Huo ndio ukwel kocha anahtaji kubadirika kimbinuSio rahisi kama tunavyodhania, Yanga bado sana kwenye mashindano ya Club Bingwa.
Wacheazji wetu ni machachari! but bado tuna nafasi ya kupenya kama kocha atabadilika na kuwa na heshima kwa wapinzani
Nimeangalia mechi zote mbili ile ya Algeria na hii hapa ya kwa mkapa dhid ya Al alhly nachelea kusema pale hamna kocha wa mbinu
Mbinu pekee aliyonayo n kupress kwa kas basi na Wala hamuheshimu mpinzani wake hata kidogo
Katika mpira lazma kocha uweze kubadirika Kutoka na mpinzani wako anavyocheza lakn huyu Hana muda huo yeye n kasi kasi kasi basii ndyo anachojua
Mechi ya Algeria timu ingeweza hata kupata sare lakn hakumheshimu mpinzani wake hata kidogo
KOCHA NABI aliweza kucheza kwa mbinu japo zpo mech alizopoteza lakn alionesha mbinu za kimchezo
Kibabage hawez kumzid FARID MUSA Hana control mguuni Wala kumwaga maji sijui nn kimemkuta Farid Musa
Kibabage alifanya vizuri Jana , waarabu warefu na wazuri wa vichwa mipira ya kumwaga maji haifai .Nimeangalia mechi zote mbili ile ya Algeria na hii hapa ya kwa mkapa dhid ya Al alhly nachelea kusema pale hamna kocha wa mbinu
Mbinu pekee aliyonayo n kupress kwa kas basi na Wala hamuheshimu mpinzani wake hata kidogo
Katika mpira lazma kocha uweze kubadirika Kutoka na mpinzani wako anavyocheza lakn huyu Hana muda huo yeye n kasi kasi kasi basii ndyo anachojua
Mechi ya Algeria timu ingeweza hata kupata sare lakn hakumheshimu mpinzani wake hata kidogo
KOCHA NABI aliweza kucheza kwa mbinu japo zpo mech alizopoteza lakn alionesha mbinu za kimchezo
Kibabage hawez kumzid FARID MUSA Hana control mguuni Wala kumwaga maji sijui nn kimemkuta Farid Musa
Upo sahihi tu hapo kwa kibabage, huyo kibabage hata sijui nn alichonacho mpk akasajiliwa. Kwanza mfupi sana alafu dogo hana hata nguvu wala kasi na hata krosi hapigi.Nimeangalia mechi zote mbili ile ya Algeria na hii hapa ya kwa mkapa dhid ya Al alhly nachelea kusema pale hamna kocha wa mbinu
Mbinu pekee aliyonayo n kupress kwa kas basi na Wala hamuheshimu mpinzani wake hata kidogo
Katika mpira lazma kocha uweze kubadirika Kutoka na mpinzani wako anavyocheza lakn huyu Hana muda huo yeye n kasi kasi kasi basii ndyo anachojua
Mechi ya Algeria timu ingeweza hata kupata sare lakn hakumheshimu mpinzani wake hata kidogo
KOCHA NABI aliweza kucheza kwa mbinu japo zpo mech alizopoteza lakn alionesha mbinu za kimchezo
Kibabage hawez kumzid FARID MUSA Hana control mguuni Wala kumwaga maji sijui nn kimemkuta Farid Musa
Jana majukumu aliyopewa ni kusogea juu tukiwa na mpira kwasabab nyuma kulika na mabeki 3. Huwa anapga back pass kwababu anakuwa yupo huko huko nyumaMzize alichoka mapema tuu. Nilikuwa simkubali lomalisa kwa sababu ya back pass ila lomalisa nisamee bure laiti asingeumia tulikuwa tunakimbiza sana tyu. Yanga ilicheza bonge yanga ya game. Nadhani makolo wamepata taarifa huko walipo.
Wewe umeongea.Mzize alichoka mapema tuu. Nilikuwa simkubali lomalisa kwa sababu ya back pass ila lomalisa nisamee bure laiti asingeumia tulikuwa tunakimbiza sana tyu. Yanga ilicheza bonge yanga ya game. Nadhani makolo wamepata taarifa huko walipo.
Nyie ndio wale mashabiki mkifungwa mnakimbilia kamera kocha hamumtaki,ukiambiwa kocha ana mapungufu gani kimya.Muda n mwalimu mzuri mkuu
Siyo kweli hao waliocheza nao siyo timu ndgo yanga Haina namba 9 mwenye weledi wa kutosha mzize na msonda Bado sanaNimeangalia mechi zote mbili ile ya Algeria na hii hapa ya kwa mkapa dhid ya Al alhly nachelea kusema pale hamna kocha wa mbinu
Mbinu pekee aliyonayo n kupress kwa kas basi na Wala hamuheshimu mpinzani wake hata kidogo
Katika mpira lazma kocha uweze kubadirika Kutoka na mpinzani wako anavyocheza lakn huyu Hana muda huo yeye n kasi kasi kasi basii ndyo anachojua
Mechi ya Algeria timu ingeweza hata kupata sare lakn hakumheshimu mpinzani wake hata kidogo
KOCHA NABI aliweza kucheza kwa mbinu japo zpo mech alizopoteza lakn alionesha mbinu za kimchezo
Kibabage hawez kumzid FARID MUSA Hana control mguuni Wala kumwaga maji sijui nn kimemkuta Farid Musa
Nimeangalia mechi zote mbili ile ya Algeria na hii hapa ya kwa mkapa dhid ya Al alhly nachelea kusema pale hamna kocha wa mbinu
Mbinu pekee aliyonayo n kupress kwa kas basi na Wala hamuheshimu mpinzani wake hata kidogo
Katika mpira lazma kocha uweze kubadirika Kutoka na mpinzani wako anavyocheza lakn huyu Hana muda huo yeye n kasi kasi kasi basii ndyo anachojua
Mechi ya Algeria timu ingeweza hata kupata sare lakn hakumheshimu mpinzani wake hata kidogo
KOCHA NABI aliweza kucheza kwa mbinu japo zpo mech alizopoteza lakn alionesha mbinu za kimchezo
Kibabage hawez kumzid FARID MUSA Hana control mguuni Wala kumwaga maji sijui nn kimemkuta Farid Musa
Umewahi kufundisha timu gani hapo kijijini kwenu Sisimbi?Nimeangalia mechi zote mbili ile ya Algeria na hii hapa ya kwa mkapa dhid ya Al alhly nachelea kusema pale hamna kocha wa mbinu
Mbinu pekee aliyonayo n kupress kwa kas basi na Wala hamuheshimu mpinzani wake hata kidogo
Katika mpira lazma kocha uweze kubadirika Kutoka na mpinzani wako anavyocheza lakn huyu Hana muda huo yeye n kasi kasi kasi basii ndyo anachojua
Mechi ya Algeria timu ingeweza hata kupata sare lakn hakumheshimu mpinzani wake hata kidogo
KOCHA NABI aliweza kucheza kwa mbinu japo zpo mech alizopoteza lakn alionesha mbinu za kimchezo
Kibabage hawez kumzid FARID MUSA Hana control mguuni Wala kumwaga maji sijui nn kimemkuta Farid Musa
Kwa Mechi ya Jana basi binadamu tumeumbwa kulaumu Acha waliojaliwa lawama walaumu.Mzize alichoka mapema tuu. Nilikuwa simkubali lomalisa kwa sababu ya back pass ila lomalisa nisamee bure laiti asingeumia tulikuwa tunakimbiza sana tyu. Yanga ilicheza bonge yanga ya game. Nadhani makolo wamepata taarifa huko walipo.