Peramiho yetu
JF-Expert Member
- May 25, 2018
- 5,303
- 14,983
Nimeangalia mechi zote mbili ile ya Algeria na hii hapa ya kwa mkapa dhid ya Al alhly nachelea kusema pale hamna kocha wa mbinu
Mbinu pekee aliyonayo n kupress kwa kas basi na Wala hamuheshimu mpinzani wake hata kidogo
Katika mpira lazma kocha uweze kubadirika Kutoka na mpinzani wako anavyocheza lakn huyu Hana muda huo yeye n kasi kasi kasi basii ndyo anachojua
Mechi ya Algeria timu ingeweza hata kupata sare lakn hakumheshimu mpinzani wake hata kidogo
KOCHA NABI aliweza kucheza kwa mbinu japo zpo mech alizopoteza lakn alionesha mbinu za kimchezo
Kibabage hawez kumzid FARID MUSA Hana control mguuni Wala kumwaga maji sijui nn kimemkuta Farid Musa
Mbinu pekee aliyonayo n kupress kwa kas basi na Wala hamuheshimu mpinzani wake hata kidogo
Katika mpira lazma kocha uweze kubadirika Kutoka na mpinzani wako anavyocheza lakn huyu Hana muda huo yeye n kasi kasi kasi basii ndyo anachojua
Mechi ya Algeria timu ingeweza hata kupata sare lakn hakumheshimu mpinzani wake hata kidogo
KOCHA NABI aliweza kucheza kwa mbinu japo zpo mech alizopoteza lakn alionesha mbinu za kimchezo
Kibabage hawez kumzid FARID MUSA Hana control mguuni Wala kumwaga maji sijui nn kimemkuta Farid Musa