Muhammad El Wahad: What is behind Corona Virus is business and financial gains

Muhammad El Wahad: What is behind Corona Virus is business and financial gains

Director General wa Adidas ametangaza uzalishaji katika viwanda vyao vya China umeanza tena baada ya rais Xi Jinping kutangaza hali salama.

Ulaya na Marekani supermarkets zinaishiwa na bidhaa na watakwenda kununua China in bulk.
Kwani Adidas ni kampuni ya wapi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom