Muhammad El Wahad: What is behind Corona Virus is business and financial gains

Muhammad El Wahad: What is behind Corona Virus is business and financial gains

Kwan walivyo piga nyuklia Japan nyuklia zilikua zinaitajiwa?
Hilo pia sio rahisi, sidhani kama kuna nchi inaweza kufanya uhalifu kama huo kwa dunia ya sasa.

Kama Silaha za kemikali zinapigwa Vita kutumika (japo Syria zilitumika ila bado kuna utata nani hasa mhusika) je silaha ya kibaolojia kama kupandikiza virusi si ndio zaidi hazitakiwi kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wala nguruwe msijifariji. Kuna uwezekano huyo.mdudu wa nguruwe. Biblia inakataza, Yesu aliwaangamiza nguruwe, Qur'an imekataza, nyie mnaojidai ujanja kufakamia nguruwe mmelikoroga sasa mlinywe.
Bibi hapa unakosea sasa !!
 
Miaka yote ya industrial revolution hakukuwahi kuwa na korona leo ndo uje kunambia hivi

Low thinking capacity

Sent using Jamii Forums mobile app

Soma hii wewe mwenye high thinking capacity
Adjustments.jpg



Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Ili kuanguangusha himaya na kuinuka kwa himaya kuu nyingine lazima haya yatokee
China alitamani usa aingiie vitani na irani ile ampige proxy war kwa kusaidiana na russia na mahasimu wengine wa usa.marekani akashitukia dili..CHINA NDO WALIOTENGENEZA VIRUS they gain much financially and strategically from the aftermath of covid 19
fuatilia global stock market utaelewa
Kwan CHINA Ndio Alimtuma US Akamuue Soleiman ?!

Upuuzi wafanye wenyewe halafu muwasingizie CHINA na RUSSIA

US Alisoma alama zanyakati akaona atakachokipata toka uajemi kitamfedhehesha akaona aufyate Mkia.....

Sent using My COVID-19
 
Sisemi kama US Kaleta haya maradhi ila kwan popo wameanza kuliwa mwishoni mwamwaka jana pale UCHINA ?!
Chanzo kikuu ni ulaji wa popo mwenye virusi vingi vya Corona.

Naomba reliable source ya hio taarifa.

Sent using My COVID-19
 
I agree. Sisi wenyewe tuu hapa tulipata order ya kutuma masks kwenda china maana viwanda vyote vimefungwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni mahesabu tu mkuu me pia nilimtumia rafiki yangu china!!
Material yenyewe ya kutenganeza hizo mask yana tokea china na machine pia!!!
Don't underestimate Beijing brother adi mda huu wameshaiteka Dunia!!!
 
Air pollution ipo toka miaka na miaka waache kutufanya wajinga China au USa watakua ni wao wao wametengeneza hao virusi

Sent using Jamii Forums mobile app

Lakini kwao imeharibu sana
Wengi wamepata magonjwa sana
Hili kwetu hakuna ila China wameathirika sana na pollution hilo halina mjadala


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Back
Top Bottom