Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Ulaya na Marekani wamekuwa wakinunua China in bulk hata kabla ya mkataba mpya wa biashara wa Trump.
Sent using Jamii Forums mobile app
Director General wa Adidas ametangaza uzalishaji katika viwanda vyao vya China umeanza tena baada ya rais Xi Jinping kutangaza hali salama.
Ulaya na Marekani supermarkets zinaishiwa na bidhaa na watakwenda kununua China in bulk.
Sent using Jamii Forums mobile app