Muhammad El Wahad: What is behind Corona Virus is business and financial gains

Muhammad El Wahad: What is behind Corona Virus is business and financial gains

China viwanda vingi sana vimefungwa na kufanya hewa iwe Safi at least
Wengi wameanza kupona kwa hali ya hewa nzuri ambayo waliichafua kwa viwanda
Wale waliokuwa wanapiga kelele za tabianchi wanasherehekea kwani hata ndege ziko grounded
Dunia ilichafuka sana acha tu


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Hilo pia sio rahisi, sidhani kama kuna nchi inaweza kufanya uhalifu kama huo kwa dunia ya sasa.

Kama Silaha za kemikali zinapigwa Vita kutumika (japo Syria zilitumika ila bado kuna utata nani hasa mhusika) je silaha ya kibaolojia kama kupandikiza virusi si ndio zaidi hazitakiwi kabisa.
Ubaya wa biological weapons Ni rahisi mno kuupandikiza,hsihitaji delivery system Kama ndege,mzinga etc.
Kichupa tu anaenda kukifungulia sehemu Kisha huyooo,,kitendo Cha nukta tano tu,
Coincidence 1---ugonjwa umeanzia Wuhan,wiki mbili baada ya military game,
Coincidence 2--wuhan Ni mji ambao ulikuwa uwe shamba darasa la 5G,
Councidence3--marekani walikuwa opposed na 5G tech ya mchina kwani kwao ilikuwa tishio.
Coincidence4---US mwanzo walionekana hawana presha na huu ugonjwa na ndo maana hawakujiandaa kea lolote mpaka dakika za mwisho,kwa ufupi waliadhani hautawafikia etc
 
Januari USA waliongea biashara na China. China kawaida yao wana shusha thamani ya pesa ili wauze bidhaa zao kwa wingi nje ya nchi. Kwa mbinu hii USA na dunia nzima wanapoteza kibiashara mshindi ni China.

Jambo lingine tena ukiwa unabiashara unataka kuifanyia China inabidi utoe technology ya biashara yako kwaserikali ili upate kibali cha kufanya biashara.

Januari Trump aliwasisitiza sana China wafanye biashara bila kushusha thamani ya pesa, China walitia saini mkataba lakini hawakuridhika na makubaliano.

Baada ya hapo Corona Virus alianzia Wahuan nchini China. Januari hiyo hiyo. Wiki mbili baadae idadi ya waliokufa kwa corona virus duniani ili fika 8,000.

wiki iliyopita Xi Jinping rais wa China akiwa Wahuan alisema wamedhibiti ugonjwa. Sasa hivi hakuna habari mpya za mgonjwa wala kifo kutoka China. Idadi ya raia wa China ni 1.4 billion.

Ukija kwenye huduma za afya huwezi kulinganisha matibabu ya China na nchi za Magharibi ya Ulaya na Marekani.

Katika maajabu corona virus anasambaa Ulaya Magharibi na Marekani wakati China wameweza kumdhibiti. France, Italy, England na Marekani sasa wanapambana na corona. Walati Urusi anaepakana na China ameripoti mgonjwa mmoja tu.

Kutoka India kwenda China ni maili 100 na wana idadi ya watu 1.5 billion lakini wana wagonjwa 60. Italy in watu milioni 65 na imeripoti wagonjwa 12,000.

Tangu corona virus isambae stock exchange market imeshuka sana hasa kwa nchi za Magharibi. Sasa hivi China ndiye mnunuzi mkubwa wa share kupitia makampuni ya serikali.

Kwa kifupi Januari Trump aliwapush mno China, waliingia mkataba ambao hawakuupenda. Wameleta kirus na sasa kinamchanganya Trump na rafiki zake.
Sasa tunachanganyana wengine wanahisi marekani ndio katengeneza alafu amewatupia wachina

Wewe unasema China wametengeneza wenyewe

Mwaka huu tutasikia mengi sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio imeanzia China mji wa Wuhan,wachina wangeweza kuupeleka nchi yeyote Kama wao wanahusika,wamarekani walijua kuwa mji wa Wuhan Kuna maabara ya virus,
Mwezi oktoba mwaka Jana,kulikua na mazoezi ya kijeshi China,yakihusisha nchi mbalimbali ikiwemo marekani,
Wanajeshi wa marekani wakiwa huko,walikua wakitembelea soko moja la vyakula pale Wuhan,Mara kwa Mara.
Mwezi mmoja baadae ugonjwa ukaripuka Wuhan na ulianzia maeneo ya pale sokoni,
Ina maana jamaa walitarget na kuupandikiza ugonjwa pale ili ionekane eti tabia ya wachina kula supu za popo zimechangia,
Lengo la marekani ilukuwa Ni kuslow down uchumi wa China kwani ulikuwa ukija juu tofauti na walivyotaka.
Ni hatari sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna Agenda 21 ya kupunguza watu duniani...hii corona yaweza pelekea nchi zikaacha kutumia pesa za makaratasi na shilling ili kuepuka kusambaza virusi hivyo tukaishia kutumia hela kidigitali...mfano mpesa na kadi za benki..huo ni mpango wa NWO.....


Hii sehemi inanipa kaukweli flani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio imeanzia China mji wa Wuhan,wachina wangeweza kuupeleka nchi yeyote Kama wao wanahusika,wamarekani walijua kuwa mji wa Wuhan Kuna maabara ya virus,
Mwezi oktoba mwaka Jana,kulikua na mazoezi ya kijeshi China,yakihusisha nchi mbalimbali ikiwemo marekani,
Wanajeshi wa marekani wakiwa huko,walikua wakitembelea soko moja la vyakula pale Wuhan,Mara kwa Mara.
Mwezi mmoja baadae ugonjwa ukaripuka Wuhan na ulianzia maeneo ya pale sokoni,
Ina maana jamaa walitarget na kuupandikiza ugonjwa pale ili ionekane eti tabia ya wachina kula supu za popo zimechangia,
Lengo la marekani ilukuwa Ni kuslow down uchumi wa China kwani ulikuwa ukija juu tofauti na walivyotaka.
Hahahahaha
 
Well, theory yako ina walaki kutokana na hakuna mwenye uhakika kama ni kweli ugongwa ilianzishwa na Wachina au Wamarekani. sisemi kama ni kweli au sio kweli lakini kuna sababu nyingine pia zinazoweza kuchangia kwanini huu ugonjwa umeweza kutapakaa mchi za Magharibi kwa haraka ukilinganisha na nchi za India, Russia au Afrika.

kilichopelekea huu ugongwa kukuwa sana kwenye nchi za Magharibi na Marekani, ni pamoja na nchi hizo kuwa na kipato cha juu kinachowawezesha kusafiri kati ya China na nchi zao za Maghararibi. Nchi nyingi za Magharibi walifunga viwanda vyao vya kuzalisha bidhaa ndogo-ndogo ktk miaka ya 70, China akachangamkia fursa miaka ya 80, leo hii hakuna nchi inaweza kujitosheleza bila ya bidhaa za kutoka China. Japo India ni nchi inayo pakana na China, lakini wahindi wengi bado ni watu kipato chini na hapo hapo wanategema sana bidhaa zinazo zalishwa ndani ya India kuliko nje.

Ugonjwa umeweza kushamiri kwenye nchi za Magharibi kwa kasi kutokana na sababu mbili, kwanza nchi za Magharibi watu wao wako very social and free (hakuna vita na wengi wanakazi na pesa mifukoni), na cha pili, nchi za Magharibi zina wazee wengi wanaoishi maisha mrefu 70,80,100 years old. Lakini hapo hapo hao wazee wengi wana underline health issues ikiwa pamoja na magonjwa ya kupumua, virusi vya corona vinapenda kukaa kwenye mapafu ya watu na kuwapunguzia uwezo wa kupumua kirahisi.
Mkuu hii username ni jina lako halisi??
 
Hilo pia sio rahisi, sidhani kama kuna nchi inaweza kufanya uhalifu kama huo kwa dunia ya sasa.

Kama Silaha za kemikali zinapigwa Vita kutumika (japo Syria zilitumika ila bado kuna utata nani hasa mhusika) je silaha ya kibaolojia kama kupandikiza virusi si ndio zaidi hazitakiwi kabisa.
Kitu kutotakiwa haimaanishi yakwamba ndio watu hawawezi kitumia mkuu tena visivyotakiwa maranyingi ndio vinaongoza kwakutumiwa japo sio kutumiwa nawengi ila hao wachache wanaokitumia hukitumia kwakiasi kikubwa angalia madawa yakulevya namengineyo mfano wahayo.....


Nb:Sijaunga Mkono Hoja Yakwamba US Katengeneza Hili Gonjwa Japokua Uwezo Wakufanya Hivyo Anao .....

Sent using My COVID-19
 
Wakuu, kati ya story hii na ya mleta uzi tuiamini ipi? Ipi ni nzuri kati hizi version mbili?
Consiparists ni vituko.
Ndio imeanzia China mji wa Wuhan,wachina wangeweza kuupeleka nchi yeyote Kama wao wanahusika,wamarekani walijua kuwa mji wa Wuhan Kuna maabara ya virus,
Mwezi oktoba mwaka Jana,kulikua na mazoezi ya kijeshi China,yakihusisha nchi mbalimbali ikiwemo marekani,
Wanajeshi wa marekani wakiwa huko,walikua wakitembelea soko moja la vyakula pale Wuhan,Mara kwa Mara.
Mwezi mmoja baadae ugonjwa ukaripuka Wuhan na ulianzia maeneo ya pale sokoni,
Ina maana jamaa walitarget na kuupandikiza ugonjwa pale ili ionekane eti tabia ya wachina kula supu za popo zimechangia,
Lengo la marekani ilukuwa Ni kuslow down uchumi wa China kwani ulikuwa ukija juu tofauti na walivyotaka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom