Serikali inapata faida ipi,kuwatumia wauza unga?Yeah, 2014.Serikali karibu zote duniani zinajihusisha na hii biashara kwa namna moja ama nyingine na huwatumia watu fulani kisha baadaye wanawapoteza!
Yaani unakuta jamaa ni maarufu kwa kuuza madawa lakini hakamatwi! Kumbe yupo kwenye mfumo!Ingia wewe uone!
Yule jamaa mchoraji huwa nahisi anatumika na mfumo! Naona dalili za kuchokwa zimeanza, unafikiri Mwijaku alijitungia? Au wahenga wenzangu mnasemaje??