Muharami Abdallah (Chonji) na wenzake wahukumiwa kifungo cha maisha jela kwa makosa ya kusafirisha dawa za kulevya

Ifike wakati wasitangaze thamani ya hayo madawa ya kulevya kama Serikali inapinga matumizi ya hii kitu hizi thamani wao wamezipata wapi wataje uzito na aina inatosha kutaja taja thamani kunachochea ongezeko la hiyo biashara haramu..
Kisheria thamani ya madawa lazima itangazwe ili kukazia HUKUMU. Huyo chonji alikua anatom.bah lishangazi flan amazing hivi daah. Sijui like lishangazi Lina Hali gani sasa hivi
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Tetesi huyo aliefungwa US amesha achiwa... Kule walimpeleka kupumzika tu.. Waka freeze assets zake bhas... A very humble and family man... Ila kwa matukio sasa.....
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] mbona kama anaonekana siyo humble[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] alivyokamatwa aliwaambia polisi kuwa wanajisumbua tu yeye at
Atachiwa tu
 
Kweli hata Kuna brother mmoja South Africa and hela kinoma..ni mtoto was magomeni ...na yule Rasta tiko wa magomeni naye ana bonge la mjengo magomeni
 
Beka rangers Alifungwa miaka saba Mauritius ila kamaliza,, huyu anamuongelea tiko rasta wa makanya naye alikuja kuchukuliwa na interpool bongo akafungwa marekani nafikiri ni miaka mitatu nae kamwaga
Naamini kwa vifungo hivyo vigupi itakuwa wanacooperate na mamlaka, hivi hivi hauwezi fungwa muda mfupi hivyo.
 
Asee
 
Babkubwa...
Mji umejaa washamba huu wa vijijini...
Mtu anatoka kwenye tembe za tope huko maporini , ila akifika Dar anaanza kuwaponda watu wa Mbagala,.....
Wakati mzunguko wa hela Mbagala ni zadi ya Iringa au Mbeya mjini....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…