Muharami Abdallah (Chonji) na wenzake wahukumiwa kifungo cha maisha jela kwa makosa ya kusafirisha dawa za kulevya

Naikumbuka vizuri siku hiyo kabla ya kukamatwa chonji alirushiana risasi na askari.
Duh! Sasa kwa nini polisi wasitengeneze mazimgira ya kumuua tuu kama walivyofanya kwa yule don wa colombia
Mie ningekuwa mkuu wa hiyo idara yaani ningesema kabis ahapa sitaki kesi nataka a dead body tena especially mtu ambaye tunajua kabisa anatembea na bunduki
 
Huyo Chonji anakaa magomeni Kagera nyuma ya kituo cha mafuta cha oil com,mtaa wa magomeni kondoa kama sijakosea hapo ana miliki ghorofa na hapo ndipo alipotupiana risasi na askari.
 
Nenda maeneo ya magomeni Kagera nyuma ya kituo cha mafuta cha oil com kaulize habari zake wakazi wa hapo watakupa historia yake yote.
 
Aliekamatwa na wamarekani Beka Rangers,tena walienda kumkamatia Mauritius kama sijasahau akapelekwa Marekan nahisi kesi yake iliisha
 
Halafu Wagalatia wanakuambia samia anacheka na drugs dealer, haya hao wamekula kifungo cha maisha
 
M niltaka wanyongwe kabisaaa wametesa vijana wengi sana ba madawa yaoioi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…