Muharami Abdallah (Chonji) na wenzake wahukumiwa kifungo cha maisha jela kwa makosa ya kusafirisha dawa za kulevya

Kina shkuba walishamaliza kifungo
 
Wamekamatwa wa 5 ila Chonji ndio yupo kwenye headline itakuwa ni maarufu huyu
Na kesi hii ilikuwa na msukumo nyuma yake.... ikimlenga huyu huyu chonji ndy yote haya yakatokea
Kwanza hiyo siku jamaa chonji anapigwa ambush kituo cha polisi magomeni wala urafiki walikuwa hawana taarifa
Umeme ulizimwa eneo lote hilo la magomeni
Baharia siku hiyo nlikuwa grand Hotel pale nna mgeni
Ebwana ilikuwa kama movie....
Chonji walipomtimbia kwake alijua anavamiwa na majambazi
Mule ndani kwqke jamaa alikuwa na mzigo mahela,kuna watu walikuwa wanapack kazi wengine wana hesabu mijihela nk
Jamaa alipelekewa watu wa maana watu walipigika sana maana yeye si alikuwa na watu wapiga ngumi 😄 akapelekewa watu wa ngumi pia
Ila ile operation kwake hata polisi magomeni,urafiki,obay walikuwa haijuwi kama inafanyika

Ova
 
Daah wewe jamaa ni informer alafu ni born town kitambo
 
Kwani huyu alikamatwa awamu ipi?
 

Kamishna Siang'a alikuwa front... Juu chini.. Zunguka nyumba Yote...

Yule mtoto wa kitanga nilijua laini laini ila speed yake sio poa... Yeye ndio alikuwa na jiko anazifunga pipi... Tayari kwa kupakiwa kwa punda...

Ilikuwa ni movie ndio maana hata nyumba za majirani zilikuwa chini ya ulinzi.. Hakuna kuingia wala kutoka.
 
Na wote ni kutoka dini ileee, inayojifsnya ndio Ina ma tajiri wengi, kumbe wauza ngada tu, ukiwakuta, mjini na Prado zao, unajiuliza hawa wanazalisha nini!
 
Na wote ni kutoka dini ileee, inayojifsnya ndio Ina ma tajiri wengi, kumbe wauza ngada tu, ukiwakuta, mjini na Prado zao, unajiuliza hawa wanazalisha nini!
Waislam wote Duniani lazima wawe na Dhambi Moja kubwa sana

Kuzini
Magedo
Kuua
madawa
Ushoga
Utaongezea.

Kama huamini mtafute Swala tano hapo mtaani kwako alafu umchunguze
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…