MUHAS na CUHAS ndio vyuo bora pekee vya Afya Tanzania

MUHAS na CUHAS ndio vyuo bora pekee vya Afya Tanzania

Critical thinking

You will need to reason

Kwenye elimu we don’t focus only na cognitive theory ( mfumo mwingi wa elimu ya TZ ni cognitive based only knowledge)

While mfumo wa mbele au hizi international schools ni wanafocus kwenye mambo 3

1. Psychomoteur ( to ensure students has skills may be multiple skills kwenye maisha)
2. Cognitive ( knowledge)
3. Attitudes ( to have the right attitudes )

Mfumo wa TZ una focus kwenye Cognitive tu
Psychomoteur ni zero
Attitude ni zero

Ndio hao viongozi wa TZ , unakuta mtu Rais au Waziri but still anaiba na kupiga deal .
Huko ndio Huwa tunapotezea muda Waafrika. Haya tumesoma Sana ma mechanics na madude mazito, hayo magari, pikipiki, baiskeli na machine mbalimbali ziko wapi
 
Mimi naona wewe ndo shida na siyo hao unaowasema. Hivi unategemea mtu ambaye ndo anaanza kazi awe competent kama wewe ambaye upo kazini muda mrefu?
Badala uwaelekeze waelewe wewe unaanza kuponda vyuo wanavyotoka, hivi huoni kwamba wewe ni tatizo zaidi sehemu yako ya kazi zaidi ya unavyojiona?

[emoji3]kasome tena .
 
Hapana
It is very obvious kama mtu kapata div one ya 3 kwa akili zake, na huyu kapata div 3 kwa akili zake …..that is obvious gap

Aliyepata one ni ana akili za darasani and bright as compared to div 3
Upo sahihi kwa akili za darasani na inadefine IQ yake lakini ukija katika Performance ya kazi ni TOFAUTI, take it from me

Mimi nimesoma Computer Science nilikataa kusoma Udaktari, lakini ukija kwny field work mara nyingi tunachukua vijana wa Form IV walioenda kufanya Diploma za IT kwny vyuo vya kawaida vya Private na tunawaacha Graduates wa UDSM, UDOM n.k kwasababu hawawezi kazi...ni theoretical oriented

Same pia kwny Field zingine, kuna tatizo flan katika vyuo vyetu
 
Wakati nipo Ocean Road nikiwa TZ , nimefanya kazi na products mbalimbali kutoka vyuo tofauti, wapo wanafunzi kama intern wakiwa madaktari ambao we were training them, wengine wafamasia au nurses ….based on the experience, students from MUHAS and CUHAS were the best doctors , pharmacist and nurses .

Wanafunzi kutoka vyuo tofauti na hivyo, ni majanga makubwa unajiuliza wewe unaendaje kutibu watu au unaendaje ku deal na dawa za binadamu?

Una mwambia prospective doctor achukue pathologic history, unabaki unashika kichwa, you meet a pharmacist anamwambia mgonjwa umeze Gynozol mbili mara tatu , shame ! ( gynozol is a medication need to be inserted through vagina).

Ukiuliza umesoma wapi utaambiwa ……..,,,vyuo fulan Fulani hivi na vile vyuo ambavyo unaambiwa chuo kipo gorofa ya nne

Ni kawaida siku hizi student with Flat D akawa enrolled kwenye medical field , it is a shame CCM inaenda kuharibu hadi mfumo wa elimu ya Afya,

tuna madaktari very low intelligence can’t even reason , we have pharmacist and nurses who cannot even notice medication errors zinazokuwa committed by doctors .

Ikiwa mtu mwenye D anaenda kusoma kozi za Afya , we need to go back kwenye drawing table or else let’s all perish.

Kwa ufaulu wa sasa, kama hauna C and above ilitakiwa usiruhusiwe kusoma course za Afya level ya Diploma , watanzania wanaangamia, ever wondered why now days magonjwa ya matajiri wanaumwa masikini.

Kwa mfano hii nchi ninayoishi, the best students let’s say A plus wanaenda kusoma Veterinary na Pharmacy, then best students with A wanaenda kusoma medicine , nurses and injinia.

How come tunaruhusu D Iende kusoma medical field , hivi CCM kwanini tunapenda ku play na mambo muhimu; last time tuliona ufaulu wa madokta was catastrophic , this time tunaona ufaulu wa pharmacist ni worse, ukipitia hiyo link ya mwananchi utaona matokeo yao , a student from certain universities in TZ Kutoa MUHAS na CUHAS utaona mtu amerudi mara 6 the same exams [emoji2099], such student baadae ataenda Hosp kumshauri mgonjwa…… where are we going CCM ?

MUHAS and CUHAS are the only conservatives universities, kusoma medicine nurses au Pharmacy .

MUHAS kama huna A za kutosha kwenye qualification entry zako, my friend sahau bachelor of medicine wala famasi.

Sasa Wakikosa MUHAS au CUHAS , pakukimbilia ni hivyo vyuo vinavoleta watu wanaenda kuwaaambia wagonjwa meza gynozol au anaenda kuandika pathologie kuwa a family has a history of falling down the trees ! Shame shame shame , problem !

Qualification entry za Course za Afya lazima ziangaliweUPYA , kwa level ya diploma you must have C or above in all subjects and for bachelor tuige mfano wa MUHAS na CUHAS .

Ni Umasikini tu wa black skin , I wished kwa Tanzania vyuo vyote vinavyohusu Afya viwe ni vya Serikali, ikitokea vya private , basi viwe BEST ya vyuo vya serikali lakini pia qualification entry ziwe standardized kwa Course za Afya .

Minimum criteria ziwe ni C for diploma , na minimum criteria for bachelor iwe ni A na B tu na kusiwe na C kwenye physic’s , math , bio, chemistry otherwise, tunatengeneza bomu and in few years tujiandae the consequences

health education system must be preserved at any COST

Professional bodies , mshike hapo hapo, msipitishe Uharo kwa expenses ya watanzania wasiojua chochote masikini.

Hongereni wafamasia, na sisi Madokta tuige mfano kupiga scrutiny za kutosha,kama lichuo linachukua F au D For the sake of money , piga PIN kwenye professional exams tu.



TAFAKARI MTANZANIA !
MUHAS kwa nchini ni sawa.

Lakin bado kinajitafuta
 
Huko ndio Huwa tunapotezea muda Waafrika. Haya tumesoma Sana ma mechanics na madude mazito, hayo magari, pikipiki, baiskeli na machine mbalimbali ziko wapi

You are right

Umeelewa nilivoandika
Cognitive
Psychomoteur
Na attitude?

You had cognitive but you missed psychomoteur ( Skills )

You were enquiped na cognitive ( knowledge) but skills zero.
Matokeo yake unapata A physical mechanical but ukiletewa hata baiskel you can’t fix
 
Wakati nipo Ocean Road nikiwa TZ , nimefanya kazi na products mbalimbali kutoka vyuo tofauti, wapo wanafunzi kama intern wakiwa madaktari ambao we were training them, wengine wafamasia au nurses ….based on the experience, students from MUHAS and CUHAS were the best doctors , pharmacist and nurses .

Wanafunzi kutoka vyuo tofauti na hivyo, ni majanga makubwa unajiuliza wewe unaendaje kutibu watu au unaendaje ku deal na dawa za binadamu?

Una mwambia prospective doctor achukue pathologic history, unabaki unashika kichwa, you meet a pharmacist anamwambia mgonjwa umeze Gynozol mbili mara tatu , shame ! ( gynozol is a medication need to be inserted through vagina).

Ukiuliza umesoma wapi utaambiwa ……..,,,vyuo fulan Fulani hivi na vile vyuo ambavyo unaambiwa chuo kipo gorofa ya nne

Ni kawaida siku hizi student with Flat D akawa enrolled kwenye medical field , it is a shame CCM inaenda kuharibu hadi mfumo wa elimu ya Afya,

tuna madaktari very low intelligence can’t even reason , we have pharmacist and nurses who cannot even notice medication errors zinazokuwa committed by doctors .

Ikiwa mtu mwenye D anaenda kusoma kozi za Afya , we need to go back kwenye drawing table or else let’s all perish.

Kwa ufaulu wa sasa, kama hauna C and above ilitakiwa usiruhusiwe kusoma course za Afya level ya Diploma , watanzania wanaangamia, ever wondered why now days magonjwa ya matajiri wanaumwa masikini.

Kwa mfano hii nchi ninayoishi, the best students let’s say A plus wanaenda kusoma Veterinary na Pharmacy, then best students with A wanaenda kusoma medicine , nurses and injinia.

How come tunaruhusu D Iende kusoma medical field , hivi CCM kwanini tunapenda ku play na mambo muhimu; last time tuliona ufaulu wa madokta was catastrophic , this time tunaona ufaulu wa pharmacist ni worse, ukipitia hiyo link ya mwananchi utaona matokeo yao , a student from certain universities in TZ Kutoa MUHAS na CUHAS utaona mtu amerudi mara 6 the same exams [emoji2099], such student baadae ataenda Hosp kumshauri mgonjwa…… where are we going CCM ?

MUHAS and CUHAS are the only conservatives universities, kusoma medicine nurses au Pharmacy .

MUHAS kama huna A za kutosha kwenye qualification entry zako, my friend sahau bachelor of medicine wala famasi.

Sasa Wakikosa MUHAS au CUHAS , pakukimbilia ni hivyo vyuo vinavoleta watu wanaenda kuwaaambia wagonjwa meza gynozol au anaenda kuandika pathologie kuwa a family has a history of falling down the trees ! Shame shame shame , problem !

Qualification entry za Course za Afya lazima ziangaliweUPYA , kwa level ya diploma you must have C or above in all subjects and for bachelor tuige mfano wa MUHAS na CUHAS .

Ni Umasikini tu wa black skin , I wished kwa Tanzania vyuo vyote vinavyohusu Afya viwe ni vya Serikali, ikitokea vya private , basi viwe BEST ya vyuo vya serikali lakini pia qualification entry ziwe standardized kwa Course za Afya .

Minimum criteria ziwe ni C for diploma , na minimum criteria for bachelor iwe ni A na B tu na kusiwe na C kwenye physic’s , math , bio, chemistry otherwise, tunatengeneza bomu and in few years tujiandae the consequences

health education system must be preserved at any COST

Professional bodies , mshike hapo hapo, msipitishe Uharo kwa expenses ya watanzania wasiojua chochote masikini.

Hongereni wafamasia, na sisi Madokta tuige mfano kupiga scrutiny za kutosha,kama lichuo linachukua F au D For the sake of money , piga PIN kwenye professional exams tu.



TAFAKARI MTANZANIA !
Serikali kuruhusu mtu wa medicine diploma aanze akiwa na D wana maana yao na pia hawajakosea.
Licha ya kuruhusu hilo wameweka mtego mingi ili mwanafunzi kufaulu.
Pia licha ya hilo wapo waliofaulu kwa D ila wakaja na perfection na wapo walofaulu kwa A ila wakaja na dullness.
Maana mtihani wa taifa wa CSEE/CAEE haimaanishi pale ndio kikomo cha mtu cha uelewa.
Usipime uelewa kihivyo.
Nina mifano wa C.O waliosoma kwa D ila ni wamoto wamepasua GPA ya 4 na sasa wanamalizia bachelor of medicine.
 
Huku mtaani hawatiki hata kujua ulisoma chuo Gani wanataka matokeo ya ulichosoma haijalishi ni Tiofilo kisanji, mum, st Francis, Muhimbili, Udsm sijui wapi. Cha msingi nachofahamu kinachohitajika ni Training nyingi kwa muhitimu ili awe competent.

Pia Zingatia mazingira ya mwanafunzi aliepata D zote na A zote nikutoka shule gani.

St Francis, Feza au Kaliua secondary au Nzega secondary?.

Naamini mwanafunzi aliepata D tatu Kaliua secondary angetengenezewa mazingira mazuri kama ya mwanafunzi wa Feza mwenye A tupu huenda nae angekua na A tupu.
 
Wakati nipo Ocean Road nikiwa TZ , nimefanya kazi na products mbalimbali kutoka vyuo tofauti, wapo wanafunzi kama intern wakiwa madaktari ambao we were training them, wengine wafamasia au nurses ….based on the experience, students from MUHAS and CUHAS were the best doctors , pharmacist and nurses .

Wanafunzi kutoka vyuo tofauti na hivyo, ni majanga makubwa unajiuliza wewe unaendaje kutibu watu au unaendaje ku deal na dawa za binadamu?

Una mwambia prospective doctor achukue pathologic history, unabaki unashika kichwa, you meet a pharmacist anamwambia mgonjwa umeze Gynozol mbili mara tatu , shame ! ( gynozol is a medication need to be inserted through vagina).

Ukiuliza umesoma wapi utaambiwa ……..,,,vyuo fulan Fulani hivi na vile vyuo ambavyo unaambiwa chuo kipo gorofa ya nne

Ni kawaida siku hizi student with Flat D akawa enrolled kwenye medical field , it is a shame CCM inaenda kuharibu hadi mfumo wa elimu ya Afya,

tuna madaktari very low intelligence can’t even reason , we have pharmacist and nurses who cannot even notice medication errors zinazokuwa committed by doctors .

Ikiwa mtu mwenye D anaenda kusoma kozi za Afya , we need to go back kwenye drawing table or else let’s all perish.

Kwa ufaulu wa sasa, kama hauna C and above ilitakiwa usiruhusiwe kusoma course za Afya level ya Diploma , watanzania wanaangamia, ever wondered why now days magonjwa ya matajiri wanaumwa masikini.

Kwa mfano hii nchi ninayoishi, the best students let’s say A plus wanaenda kusoma Veterinary na Pharmacy, then best students with A wanaenda kusoma medicine , nurses and injinia.

How come tunaruhusu D Iende kusoma medical field , hivi CCM kwanini tunapenda ku play na mambo muhimu; last time tuliona ufaulu wa madokta was catastrophic , this time tunaona ufaulu wa pharmacist ni worse, ukipitia hiyo link ya mwananchi utaona matokeo yao , a student from certain universities in TZ Kutoa MUHAS na CUHAS utaona mtu amerudi mara 6 the same exams [emoji2099], such student baadae ataenda Hosp kumshauri mgonjwa…… where are we going CCM ?

MUHAS and CUHAS are the only conservatives universities, kusoma medicine nurses au Pharmacy .

MUHAS kama huna A za kutosha kwenye qualification entry zako, my friend sahau bachelor of medicine wala famasi.

Sasa Wakikosa MUHAS au CUHAS , pakukimbilia ni hivyo vyuo vinavoleta watu wanaenda kuwaaambia wagonjwa meza gynozol au anaenda kuandika pathologie kuwa a family has a history of falling down the trees ! Shame shame shame , problem !

Qualification entry za Course za Afya lazima ziangaliweUPYA , kwa level ya diploma you must have C or above in all subjects and for bachelor tuige mfano wa MUHAS na CUHAS .

Ni Umasikini tu wa black skin , I wished kwa Tanzania vyuo vyote vinavyohusu Afya viwe ni vya Serikali, ikitokea vya private , basi viwe BEST ya vyuo vya serikali lakini pia qualification entry ziwe standardized kwa Course za Afya .

Minimum criteria ziwe ni C for diploma , na minimum criteria for bachelor iwe ni A na B tu na kusiwe na C kwenye physic’s , math , bio, chemistry otherwise, tunatengeneza bomu and in few years tujiandae the consequences

health education system must be preserved at any COST

Professional bodies , mshike hapo hapo, msipitishe Uharo kwa expenses ya watanzania wasiojua chochote masikini.

Hongereni wafamasia, na sisi Madokta tuige mfano kupiga scrutiny za kutosha,kama lichuo linachukua F au D For the sake of money , piga PIN kwenye professional exams tu.



TAFAKARI MTANZANIA !
Kwanza utajuaje mtu kasoma chuo gani wote wakiwa kwenye lab coat?

Pili daktari anatumia STANDARD GUIDELINE kupriscribe dawa ndio maana kuna kompyuta mezani.

Tatu magonjwa yaliyopo Tanzania ni Common

Nne madaktari ni misukule wa pharmaceautical companies hamna uwezo wa kugundua dawa mpya zaidi ua tangawizi, asali na vitunguu swaumu

Je kati yako wewe na mganga wa kienyeji nani ana akili kuzidi mwenzake? Pia mkiistaafu mnaishia kugungua duka la dawa mnakufa masikini
 
[emoji3]kasome tena .
Nimesoma tayari ndo maana nikaandika.
Unaweza ukawa na hoja nzuri ili uwasilishaje wake ni mbovu kitu ambacho kinaonyesha hata wewe ni tatizo zaidi.
Kamq hoja ilikuwa ni entry qualifications kwenye course za afya ungesema siyo kuanza kuponda vyuo halafu unasema huko nchi za nje.
Kwa upande wangu nakuona wewe na tatizo kuliko hao unaowasema
 
Wakati nipo Ocean Road nikiwa TZ , nimefanya kazi na products mbalimbali kutoka vyuo tofauti, wapo wanafunzi kama intern wakiwa madaktari ambao we were training them, wengine wafamasia au nurses ….based on the experience, students from MUHAS and CUHAS were the best doctors , pharmacist and nurses .

Wanafunzi kutoka vyuo tofauti na hivyo, ni majanga makubwa unajiuliza wewe unaendaje kutibu watu au unaendaje ku deal na dawa za binadamu?

Una mwambia prospective doctor achukue pathologic history, unabaki unashika kichwa, you meet a pharmacist anamwambia mgonjwa umeze Gynozol mbili mara tatu , shame ! ( gynozol is a medication need to be inserted through vagina).

Ukiuliza umesoma wapi utaambiwa ……..,,,vyuo fulan Fulani hivi na vile vyuo ambavyo unaambiwa chuo kipo gorofa ya nne

Ni kawaida siku hizi student with Flat D akawa enrolled kwenye medical field , it is a shame CCM inaenda kuharibu hadi mfumo wa elimu ya Afya,

tuna madaktari very low intelligence can’t even reason , we have pharmacist and nurses who cannot even notice medication errors zinazokuwa committed by doctors .

Ikiwa mtu mwenye D anaenda kusoma kozi za Afya , we need to go back kwenye drawing table or else let’s all perish.

Kwa ufaulu wa sasa, kama hauna C and above ilitakiwa usiruhusiwe kusoma course za Afya level ya Diploma , watanzania wanaangamia, ever wondered why now days magonjwa ya matajiri wanaumwa masikini.

Kwa mfano hii nchi ninayoishi, the best students let’s say A plus wanaenda kusoma Veterinary na Pharmacy, then best students with A wanaenda kusoma medicine , nurses and injinia.

How come tunaruhusu D Iende kusoma medical field , hivi CCM kwanini tunapenda ku play na mambo muhimu; last time tuliona ufaulu wa madokta was catastrophic , this time tunaona ufaulu wa pharmacist ni worse, ukipitia hiyo link ya mwananchi utaona matokeo yao , a student from certain universities in TZ Kutoa MUHAS na CUHAS utaona mtu amerudi mara 6 the same exams [emoji2099], such student baadae ataenda Hosp kumshauri mgonjwa…… where are we going CCM ?

MUHAS and CUHAS are the only conservatives universities, kusoma medicine nurses au Pharmacy .

MUHAS kama huna A za kutosha kwenye qualification entry zako, my friend sahau bachelor of medicine wala famasi.

Sasa Wakikosa MUHAS au CUHAS , pakukimbilia ni hivyo vyuo vinavoleta watu wanaenda kuwaaambia wagonjwa meza gynozol au anaenda kuandika pathologie kuwa a family has a history of falling down the trees ! Shame shame shame , problem !

Qualification entry za Course za Afya lazima ziangaliweUPYA , kwa level ya diploma you must have C or above in all subjects and for bachelor tuige mfano wa MUHAS na CUHAS .

Ni Umasikini tu wa black skin , I wished kwa Tanzania vyuo vyote vinavyohusu Afya viwe ni vya Serikali, ikitokea vya private , basi viwe BEST ya vyuo vya serikali lakini pia qualification entry ziwe standardized kwa Course za Afya .

Minimum criteria ziwe ni C for diploma , na minimum criteria for bachelor iwe ni A na B tu na kusiwe na C kwenye physic’s , math , bio, chemistry otherwise, tunatengeneza bomu and in few years tujiandae the consequences

health education system must be preserved at any COST

Professional bodies , mshike hapo hapo, msipitishe Uharo kwa expenses ya watanzania wasiojua chochote masikini.

Hongereni wafamasia, na sisi Madokta tuige mfano kupiga scrutiny za kutosha,kama lichuo linachukua F au D For the sake of money , piga PIN kwenye professional exams tu.



TAFAKARI MTANZANIA !
MiCCM ni miquma sana
 
Serikali kuruhusu mtu wa medicine diploma aanze akiwa na D wana maana yao na pia hawajakosea.
Licha ya kuruhusu hilo wameweka mtego mingi ili mwanafunzi kufaulu.
Pia licha ya hilo wapo waliofaulu kwa D ila wakaja na perfection na wapo walofaulu kwa A ila wakaja na dullness.
Maana mtihani wa taifa wa CSEE/CAEE haimaanishi pale ndio kikomo cha mtu cha uelewa.
Usipime uelewa kihivyo.
Nina mifano wa C.O waliosoma kwa D ila ni wamoto wamepasua GPA ya 4 na sasa wanamalizia bachelor of medicine.

GPA ya nne chuo gani , Kampala? St John’s ?
Au KCMC inayokuwa na wafanyakazi wenye vyeti fake !?

Any where, kwenye Afya D ni failure

Inatakiwa C iwe minimum criteria

Kwa zaman you are right for D ,

Ufaulu wa sasa ni mkubwa kutokana na technology kuwa kubwa hivyo C ndio standard

D ya zamani was best kipindi ambacho hakuna CHATGPT au AI , inakulazimu ujue Abbot ni kitabu cha nini, solving anatafutwa mtu 1 tu aliyepiga one ya saba

Now days you don’t need that , swali unakopi na kuingiza kwenye AI, unaletewa solution in one sec

Ni uchizi kuchukua D kama pass mark kwenye Afya .

D ziende kwenye socialogy na marketing
 
Nimesoma tayari ndo maana nikaandika.
Unaweza ukawa na hoja nzuri ili uwasilishaje wake ni mbovu kitu ambacho kinaonyesha hata wewe ni tatizo zaidi.
Kamq hoja ilikuwa ni entry qualifications kwenye course za afya ungesema siyo kuanza kuponda vyuo halafu unasema huko nchi za nje.
Kwa upande wangu nakuona wewe na tatizo kuliko hao unaowasema

Acha blah blah Mushi
 
Uliposema tu kuwa gynazol ni dawa nikakuona na wew ni wahitimu wa vyuo vya ghorofa ya nne,

Kuna miconazole Vaginal pessaries,

Unajua maana ya Generic ? na Generic Brand? Innovator na Innovator brand ? au INN?

You are mad
 
Bugando hakuna kitu wanaweza kuwa wanazidiwa hata na IMTU. Hao ni km wale wanaosoma Ukraine
Kuna mama mmoja kasoma masters china alikuwa akishindwa kazi anakimbilia utawala anawaachia wenye degree wapige kazi yaani alikuwa mweupe pee mpaka unajiuliza huyu kasoma china ya buza au

Mwingine alisoma marekani ila akafeli mtihani wa MCT
 
Back
Top Bottom