MUHAS na CUHAS ndio vyuo bora pekee vya Afya Tanzania

MUHAS na CUHAS ndio vyuo bora pekee vya Afya Tanzania

UDOM ndo chuo pekee kinachopeleka wanafunzi wake clinical area kwa mwaka mzima , DRs na Nurses, that is why they have a lot of exposure, hivyo experience wanapata za kutosha

Sijawahi kuona sina evidence ila unaweza kupeleka failures then wasiwe na outcome yoyote
 
MADOKTA UCHWARA

MANESI UCHWARA

MADOKTA WANAOCHATI WHATSAPP

MADOKTA WANAODUNGA WATU MACHANJO YA HOVYO HOVYO

MADOKTA WANAOBANIKA WATU KWENYE MIONZI

MADOKTA WENYE D MBILI
 
Hakuna mnachojua

Labda wewe unaweza kujibu, umesema nimekosea kuandika jina kwamba ningeandika Generic name !
What Generic na Generic brand
Innovator na Innovator brand ? Au what is INN

Ukiweza kujibu hili akili yako itatulia
Unaishi Tanzania ipi mkuu?

Medicine kama hauna div one au two hugusi

Hata hapo UDOM kama huna one au two hugusi

Hayo mambo ya D umeyatoa wapi?

Au unazungumzia clinical oficers?

Aaaah unaichosha mizimu ya babu yangu dokita iliyopo kichwani inayontuma niandike haya madude

Nakutakia kila la kheri huko ulaya
 
MADOKTA UCHWARA

MANESI UCHWARA

MADOKTA WANAOCHATI WHATSAPP

MADOKTA WANAODUNGA WATU MACHANJO YA HOVYO HOVYO

MADOKTA WANAOBANIKA WATU KWENYE MIONZI

MADOKTA WENYE D MBILI

Suala la D kusoma medicine au pharmacy au nurse ni zao la kuwa na wanasiasa ambao ni academic failures
 
Unaishi Tanzania ipi mkuu?

Medicine kama hauna div one au two hugusi

Hata hapo UDOM kama huna one au two hugusi

Hayo mambo ya D umeyatoa wapi?

Au unazungumzia clinical oficers?

Aaaah unaichosha mizimu ya babu yangu dokita iliyopo kichwani inayontuma niandike haya madude

Nakutakia kila la kheri huko ulaya

Soma kwa utulivu mada
 
Mi nafikiri una point kwamba mfumo wetu wa elimu kuna sehemu tunajikwaa, lakini siyo kila chuo ambacho hukusoma wewe basi kibaya. Kuna vyuo vizuri na sisemi majengo au jina la chuo naongelea wahitimu wa vyuo hivyo na course hizo.

Sibishani nawewe kuhusu baadhi ya wanafunzi kutokuelewa, hilo lipo na lilikuwepo hata hapo MUHAS na kabla ikiwa MUCHS of UDSM.

Wanao sema UDOM ina wahitimu wazuri poia wako sawa, niliona licha ya kuchukua waliofaulu vizuri pia walichukua Clinical Officers wengi pia, na kumbuka hawa clinical officers licha ya kuwa hawakufanya vizuri A level wakaenda kusoma hizo diploma, lakini wana idea ya medicine ni nini au udaktari unatakiwa uweje.

Kumbuka vijana wengi wakiishatoka Tanzania, huwa wanadhani waliobaki kule woote ni wajinga, kwamba hakuna anayeelewa chochote ila wao walio nje, hapana haiko hivyo.

Kumbuka hata ma genius pia hufanya makosa, haimaanishi sasa ni mbumbumbu kabisa.
Hao uliokutana nao wakiwa field labda pia walikuwa na stress, na walijibu kwa uoga tu, na labda leo ni wazuri tu katika ajira zao.

Hata MUCHS watu walikuwa wan fail field, na hata intern walikuwa wana fail pia. Licha ya hivyo, wapo waliokuwa wakirudia miaka na hata ku disco kabisa hapo MUCHS au MUHAS ya sasa.

Wapo waliosoma Urussi, Ukraine, India, Uganda Makerere na kwingineko wako vizuri sana tu. Na wapo walio soma IMTU pia wako vizuri kabisa.

Mi sidhani kama samaki mmoja akioza basi wote wameoza.

Nchi zilizoendelea wana mifumo tofauti, na kumbuka lugha ya kujifunzia pia siyo kwamba kutokuwa compitent kwenye kiingereza basi kunamuondolea mtaaluma ufahamu wake, hapana.

Sijui uko nchi gani lakini, hata Tanzania kuanzisha mitihani kusudi siyo kumkomoa mtu, bali kuwafanya wataalamu wawe compitent.

Marekani wao USMLE wanazo Tatu, hapa kwetu Medical licensing moja tu, bado vijana wetu wana fail.

Ila kumbuka na fail mtu binafsi siyo vyuo alivyosoma.
 
MUHAS kinatoa madaktari wanaojua theory zaidi kuliko practical, ndio maana wewe tunakuambia hujui unachoongea na umekurupuka, na sio kosa la wanafunzi kwasababu kwa nature ya hicho chuo mwanafunzi hadi amguse mgonjwa ni shughuli pevu.
Hahaha siyo kweli, Kwani siku hizi wamezuiliwa kufanya practical? MUHAS wako vizuri tu, unaweza kuta mtu mmoja anashida zake lakini chuo kiko vizuri tu.
 
Mimi naona wewe ndo shida na siyo hao unaowasema. Hivi unategemea mtu ambaye ndo anaanza kazi awe competent kama wewe ambaye upo kazini muda mrefu?
Badala uwaelekeze waelewe wewe unaanza kuponda vyuo wanavyotoka, hivi huoni kwamba wewe ni tatizo zaidi sehemu yako ya kazi zaidi ya unavyojiona?
Nadhani bado kijana, ana nguvu na majivuno. Wanafunzi wana panic field hata kwenye mitihani. Kuna madaktari bingwa leo ukiuliza historia zao vyuo walivyosoma labda hawa kuwa hata kwenye top tena huko mashuleni lakini wako vizuri kazini. Muda wa kazi unampika mtaaluma yeyote vizuri.
Yeye ana generalize sana.
 
Wapo wengi
Wengine wamesoma Russia, china Poland
Unadhani waliosoma Urusi, China na Poland ni vilaza? Mbona wako wengi wazuri sana? Wapo mmoja mmoja wana matatizo yao binafsi, lakini siyo wote.
 
MUHAS kinatoa madaktari wanaojua theory zaidi kuliko practical, ndio maana wewe tunakuambia hujui unachoongea na umekurupuka, na sio kosa la wanafunzi kwasababu kwa nature ya hicho chuo mwanafunzi hadi amguse mgonjwa ni shughuli pevu.
Hujui unachosema. MUHAS kuna wagonjwa hadi wanamwagika. Daktari mwanafunzi akitaka muda wote awe na wagonjwa anaweza.
 
GPA ya nne chuo gani , Kampala? St John’s ?
Au KCMC inayokuwa na wafanyakazi wenye vyeti fake !?

Any where, kwenye Afya D ni failure

Inatakiwa C iwe minimum criteria

Kwa zaman you are right for D ,

Ufaulu wa sasa ni mkubwa kutokana na technology kuwa kubwa hivyo C ndio standard

D ya zamani was best kipindi ambacho hakuna CHATGPT au AI , inakulazimu ujue Abbot ni kitabu cha nini, solving anatafutwa mtu 1 tu aliyepiga one ya saba

Now days you don’t need that , swali unakopi na kuingiza kwenye AI, unaletewa solution in one sec

Ni uchizi kuchukua D kama pass mark kwenye Afya .

D ziende kwenye socialogy na marketing
Daktari wa leo ana assitances nyingi sana sababu ya tekinologia ya zana zake za kazi ukilinganisha enzi za Dr.Livingstone.
Yawezekana tunapoenda huko mbele prestigious white collar job kama medical doctor itafanywa tena kwa ufanisi zaidi na Artificial Intelligence devices badala ya Daktari binadamu.
Ukisikia automation sio tu kwenye viwanda ipo hadi hospital kwa maafisa afya,wengi wao watakuwa redundant.
Na Siku chanjo ya malaria itakapopitishwa ujue hospitali nyingi zinaenda kufungwa kwa kukosa wateja.
Yajayo yana........
 
Mxiuuuuuu! Mbona madaktari bora waliotoka hivyo vyuo hawaonekani?
 
Mkuu una mawazo mazuri tu tafuta the right platform uwasilishe maoni yake I'm sure yatafanyiwa kazi tu. Don't end up lamenting just act responsibly
 
Wakati nipo Ocean Road nikiwa TZ , nimefanya kazi na products mbalimbali kutoka vyuo tofauti, wapo wanafunzi kama intern wakiwa madaktari ambao we were training them, wengine wafamasia au nurses ….based on the experience, students from MUHAS and CUHAS were the best doctors , pharmacist and nurses .

Wanafunzi kutoka vyuo tofauti na hivyo, ni majanga makubwa unajiuliza wewe unaendaje kutibu watu au unaendaje ku deal na dawa za binadamu?

Una mwambia prospective doctor achukue pathologic history, unabaki unashika kichwa, you meet a pharmacist anamwambia mgonjwa umeze Gynozol mbili mara tatu , shame ! ( gynozol is a medication need to be inserted through vagina).

Ukiuliza umesoma wapi utaambiwa ……..,,,vyuo fulan Fulani hivi na vile vyuo ambavyo unaambiwa chuo kipo gorofa ya nne

Ni kawaida siku hizi student with Flat D akawa enrolled kwenye medical field , it is a shame CCM inaenda kuharibu hadi mfumo wa elimu ya Afya,

tuna madaktari very low intelligence can’t even reason , we have pharmacist and nurses who cannot even notice medication errors zinazokuwa committed by doctors .

Ikiwa mtu mwenye D anaenda kusoma kozi za Afya , we need to go back kwenye drawing table or else let’s all perish.

Kwa ufaulu wa sasa, kama hauna C and above ilitakiwa usiruhusiwe kusoma course za Afya level ya Diploma , watanzania wanaangamia, ever wondered why now days magonjwa ya matajiri wanaumwa masikini.

Kwa mfano hii nchi ninayoishi, the best students let’s say A plus wanaenda kusoma Veterinary na Pharmacy, then best students with A wanaenda kusoma medicine , nurses and injinia.

How come tunaruhusu D Iende kusoma medical field , hivi CCM kwanini tunapenda ku play na mambo muhimu; last time tuliona ufaulu wa madokta was catastrophic , this time tunaona ufaulu wa pharmacist ni worse, ukipitia hiyo link ya mwananchi utaona matokeo yao , a student from certain universities in TZ Kutoa MUHAS na CUHAS utaona mtu amerudi mara 6 the same exams [emoji2099], such student baadae ataenda Hosp kumshauri mgonjwa…… where are we going CCM ?

MUHAS and CUHAS are the only conservatives universities, kusoma medicine nurses au Pharmacy .

MUHAS kama huna A za kutosha kwenye qualification entry zako, my friend sahau bachelor of medicine wala famasi.

Sasa Wakikosa MUHAS au CUHAS , pakukimbilia ni hivyo vyuo vinavoleta watu wanaenda kuwaaambia wagonjwa meza gynozol au anaenda kuandika pathologie kuwa a family has a history of falling down the trees ! Shame shame shame , problem !

Qualification entry za Course za Afya lazima ziangaliweUPYA , kwa level ya diploma you must have C or above in all subjects and for bachelor tuige mfano wa MUHAS na CUHAS .

Ni Umasikini tu wa black skin , I wished kwa Tanzania vyuo vyote vinavyohusu Afya viwe ni vya Serikali, ikitokea vya private , basi viwe BEST ya vyuo vya serikali lakini pia qualification entry ziwe standardized kwa Course za Afya .

Minimum criteria ziwe ni C for diploma , na minimum criteria for bachelor iwe ni A na B tu na kusiwe na C kwenye physic’s , math , bio, chemistry otherwise, tunatengeneza bomu and in few years tujiandae the consequences

health education system must be preserved at any COST

Professional bodies , mshike hapo hapo, msipitishe Uharo kwa expenses ya watanzania wasiojua chochote masikini.

Hongereni wafamasia, na sisi Madokta tuige mfano kupiga scrutiny za kutosha,kama lichuo linachukua F au D For the sake of money , piga PIN kwenye professional exams tu.



TAFAKARI MTANZANIA !
You have a point to ponder, You are very correct! all in all kumbuka Albert einstein alikataliwa kwenda university kuwa uwezo wake ni mdogo, ....and you know the story about the guy!
 
Hivi nataka kuwa daktari, topic ya projectile ya form six inanisaidia Nini.
Unafundishwa namna ya kufikirri, reason, philosophical thinking........ abstract thinking inafundishwa hiyo katika various fields. Wewe na wenzako vijana wa vyuo vya kata it seems!
 
Mkuu una mawazo mazuri tu tafuta the right platform uwasilishe maoni yake I'm sure yatafanyiwa kazi tu. Don't end up lamenting just act responsibly
You can also take up the agenda!
 
Pamoja na hoja zako ambazo hazina utafiti wa kutosha na wala hazija tumia njia ya kitaalam na ya kitafiti kufikia hitimisho. Unamatumizi mabaya kabisa katika lugha. Yani unachanganya kingereza hukohuko kiswahili andiko linakuwa vurugu.

Ukiwa kama msomi unatakiwa uweze kuwasiliana kwa ufasaha. Vinginevyo utaua wagonjwa kwani watashindwa kukuelewa.
 
Wakati nipo Ocean Road nikiwa TZ , nimefanya kazi na products mbalimbali kutoka vyuo tofauti, wapo wanafunzi kama intern wakiwa madaktari ambao we were training them, wengine wafamasia au nurses ….based on the experience, students from MUHAS and CUHAS were the best doctors , pharmacist and nurses .

Wanafunzi kutoka vyuo tofauti na hivyo, ni majanga makubwa unajiuliza wewe unaendaje kutibu watu au unaendaje ku deal na dawa za binadamu?

Una mwambia prospective doctor achukue pathologic history, unabaki unashika kichwa, you meet a pharmacist anamwambia mgonjwa umeze Gynozol mbili mara tatu , shame ! ( gynozol is a medication need to be inserted through vagina).

Ukiuliza umesoma wapi utaambiwa ……..,,,vyuo fulan Fulani hivi na vile vyuo ambavyo unaambiwa chuo kipo gorofa ya nne

Ni kawaida siku hizi student with Flat D akawa enrolled kwenye medical field , it is a shame CCM inaenda kuharibu hadi mfumo wa elimu ya Afya,

tuna madaktari very low intelligence can’t even reason , we have pharmacist and nurses who cannot even notice medication errors zinazokuwa committed by doctors .

Ikiwa mtu mwenye D anaenda kusoma kozi za Afya , we need to go back kwenye drawing table or else let’s all perish.

Kwa ufaulu wa sasa, kama hauna C and above ilitakiwa usiruhusiwe kusoma course za Afya level ya Diploma , watanzania wanaangamia, ever wondered why now days magonjwa ya matajiri wanaumwa masikini.

Kwa mfano hii nchi ninayoishi, the best students let’s say A plus wanaenda kusoma Veterinary na Pharmacy, then best students with A wanaenda kusoma medicine , nurses and injinia.

How come tunaruhusu D Iende kusoma medical field , hivi CCM kwanini tunapenda ku play na mambo muhimu; last time tuliona ufaulu wa madokta was catastrophic , this time tunaona ufaulu wa pharmacist ni worse, ukipitia hiyo link ya mwananchi utaona matokeo yao , a student from certain universities in TZ Kutoa MUHAS na CUHAS utaona mtu amerudi mara 6 the same exams [emoji2099], such student baadae ataenda Hosp kumshauri mgonjwa…… where are we going CCM ?

MUHAS and CUHAS are the only conservatives universities, kusoma medicine nurses au Pharmacy .

MUHAS kama huna A za kutosha kwenye qualification entry zako, my friend sahau bachelor of medicine wala famasi.

Sasa Wakikosa MUHAS au CUHAS , pakukimbilia ni hivyo vyuo vinavoleta watu wanaenda kuwaaambia wagonjwa meza gynozol au anaenda kuandika pathologie kuwa a family has a history of falling down the trees ! Shame shame shame , problem !

Qualification entry za Course za Afya lazima ziangaliweUPYA , kwa level ya diploma you must have C or above in all subjects and for bachelor tuige mfano wa MUHAS na CUHAS .

Ni Umasikini tu wa black skin , I wished kwa Tanzania vyuo vyote vinavyohusu Afya viwe ni vya Serikali, ikitokea vya private , basi viwe BEST ya vyuo vya serikali lakini pia qualification entry ziwe standardized kwa Course za Afya .

Minimum criteria ziwe ni C for diploma , na minimum criteria for bachelor iwe ni A na B tu na kusiwe na C kwenye physic’s , math , bio, chemistry otherwise, tunatengeneza bomu and in few years tujiandae the consequences

health education system must be preserved at any COST

Professional bodies , mshike hapo hapo, msipitishe Uharo kwa expenses ya watanzania wasiojua chochote masikini.

Hongereni wafamasia, na sisi Madokta tuige mfano kupiga scrutiny za kutosha,kama lichuo linachukua F au D For the sake of money , piga PIN kwenye professional exams tu.



TAFAKARI MTANZANIA !
Ccm mbere kwa mbere
 
Back
Top Bottom