MUHAS na CUHAS ndio vyuo bora pekee vya Afya Tanzania

MUHAS na CUHAS ndio vyuo bora pekee vya Afya Tanzania

Wakati nipo Ocean Road nikiwa TZ , nimefanya kazi na products mbalimbali kutoka vyuo tofauti, wapo wanafunzi kama intern wakiwa madaktari ambao we were training them, wengine wafamasia au nurses ….based on the experience, students from MUHAS and CUHAS were the best doctors , pharmacist and nurses .

Wanafunzi kutoka vyuo tofauti na hivyo, ni majanga makubwa unajiuliza wewe unaendaje kutibu watu au unaendaje ku deal na dawa za binadamu?

Una mwambia prospective doctor achukue pathologic history, unabaki unashika kichwa, you meet a pharmacist anamwambia mgonjwa umeze Gynozol mbili mara tatu , shame ! ( gynozol is a medication need to be inserted through vagina).

Ukiuliza umesoma wapi utaambiwa ……..,,,vyuo fulan Fulani hivi na vile vyuo ambavyo unaambiwa chuo kipo gorofa ya nne

Ni kawaida siku hizi student with Flat D akawa enrolled kwenye medical field , it is a shame CCM inaenda kuharibu hadi mfumo wa elimu ya Afya,

tuna madaktari very low intelligence can’t even reason , we have pharmacist and nurses who cannot even notice medication errors zinazokuwa committed by doctors .

Ikiwa mtu mwenye D anaenda kusoma kozi za Afya , we need to go back kwenye drawing table or else let’s all perish.

Kwa ufaulu wa sasa, kama hauna C and above ilitakiwa usiruhusiwe kusoma course za Afya level ya Diploma , watanzania wanaangamia, ever wondered why now days magonjwa ya matajiri wanaumwa masikini.

Kwa mfano hii nchi ninayoishi, the best students let’s say A plus wanaenda kusoma Veterinary na Pharmacy, then best students with A wanaenda kusoma medicine , nurses and injinia.

How come tunaruhusu D Iende kusoma medical field , hivi CCM kwanini tunapenda ku play na mambo muhimu; last time tuliona ufaulu wa madokta was catastrophic , this time tunaona ufaulu wa pharmacist ni worse, ukipitia hiyo link ya mwananchi utaona matokeo yao , a student from certain universities in TZ Kutoa MUHAS na CUHAS utaona mtu amerudi mara 6 the same exams [emoji2099], such student baadae ataenda Hosp kumshauri mgonjwa…… where are we going CCM ?

MUHAS and CUHAS are the only conservatives universities, kusoma medicine nurses au Pharmacy .

MUHAS kama huna A za kutosha kwenye qualification entry zako, my friend sahau bachelor of medicine wala famasi.

Sasa Wakikosa MUHAS au CUHAS , pakukimbilia ni hivyo vyuo vinavoleta watu wanaenda kuwaaambia wagonjwa meza gynozol au anaenda kuandika pathologie kuwa a family has a history of falling down the trees ! Shame shame shame , problem !

Qualification entry za Course za Afya lazima ziangaliweUPYA , kwa level ya diploma you must have C or above in all subjects and for bachelor tuige mfano wa MUHAS na CUHAS .

Ni Umasikini tu wa black skin , I wished kwa Tanzania vyuo vyote vinavyohusu Afya viwe ni vya Serikali, ikitokea vya private , basi viwe BEST ya vyuo vya serikali lakini pia qualification entry ziwe standardized kwa Course za Afya .

Minimum criteria ziwe ni C for diploma , na minimum criteria for bachelor iwe ni A na B tu na kusiwe na C kwenye physic’s , math , bio, chemistry otherwise, tunatengeneza bomu and in few years tujiandae the consequences

health education system must be preserved at any COST

Professional bodies , mshike hapo hapo, msipitishe Uharo kwa expenses ya watanzania wasiojua chochote masikini.

Hongereni wafamasia, na sisi Madokta tuige mfano kupiga scrutiny za kutosha,kama lichuo linachukua F au D For the sake of money , piga PIN kwenye professional exams tu.



TAFAKARI MTANZANIA !
Ndugu samahani lakini, kwani wewe ni mtu wa fani gani? kati ya hizo ulizotaja ulikuwa unawatrain interns? au zote?
 
Ndugu samahani lakini, kwani wewe ni mtu wa fani gani? kati ya hizo ulizotaja ulikuwa unawatrain interns? au zote?

Swali la hovyo sana halafu umejiandika una masters

If you are a doctor you will work with nurses as well as pharmacist , you will explain things to them and they will explain to you

if you are good enough both of them will be your friends

You have something to learn from pharmacist, if you don’t interact with them … you will know only what you know ,

if you think you are better than nurses …you will know only what you know


Medical field sio field ya mtu 1 sitting on chair and make it all

Ndio hapo tunapata vijana who ask
Is your family has history of failing from the trees

Hapa nilipo, it is normal thing for me to be in a constant call with pharmacist for 20minutes arguing and discussing based on the statistical data ; akinielezea why dawa niliyo prescribe is not suitable for that patient after he has gone through patient file .

He provides his literature and findings based on the data , you listen you talk and finally we reach consensus, and now you ask him , so what is your recommendation; then he provides the suitable one with hard evidence based on the statistical significance. Ndio maana hukuti medication errors kizembe because we believe kuna Verifier who is a pharmacist , hapo TZ daktari nikifanya professional error kutokana na wingi wa kazi , most of the time ndio inatembea hiyo ……..

Hapo Bongo sijawahi kukutana na hao pharmacist , na ikitokea ni mara chache chache sana , doctor tunaamini we know all , pharmacist nao wanajiona wanajua sana dawa than doctors , nurses yeye anajiona ndio mpango mzima linapokuja suala la mgonjwa and sometime they even teach doctors in the practical sense.

Mfumo wa black countries haupo organized kuwa you guys you need to work pamoja ili mgonjwa awe salama zaid . The ultimate ni afya ya mgonjwa
 
Ulipotaja CUHAS tu nikajua hujui unachokiongea. Miongoni mwa vyuo vina products zenye ubora mdogo ni CUHAS . At least KCMC inapokuja kwenye kazi za mikono na practical wanatoa Madaktari wazuri sio CUHAS
Mwenzio amekupa ushahidi alichokishuhudia alipokuwa Ocean road, wewe unaleta story za kuambiwa mitaani! Ila mleta mada mimi nitampinga kwenye A na D. Unalinganishaje na mitaala ya nchi zingine? Hiyo D ya hapa unaijua imekaaje?
 
Heart beat, pulse rate na device za kupima bloof pressure, unaikumbuka dopler effect?

Ultrasound unajua inafanyaje kazi?
Asisahau cathod ray oscilloscope pia inavyofanya kazi ni masuala ya radiation top ipo form 4 physics.
 
Mwenzio amekupa ushahidi alichokishuhudia alipokuwa Ocean road, wewe unaleta story za kuambiwa mitaani! Ila mleta mada mimi nitampinga kwenye A na D. Unalinganishaje na mitaala ya nchi zingine? Hiyo D ya hapa unaijua imekaaje?
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Kaka umenifurahisha sana aisee.
 
UDOM ndo chuo pekee kinachopeleka wanafunzi wake clinical area kwa mwaka mzima , DRs na Nurses, that is why they have a lot of exposure, hivyo experience wanapata za kutosha
Mungu nisamehe na wote mnisamehe! Sina nia mabaya ya kufedhehesha vyuo, hapana. Nimefanyisha wanafunzi kutoka UDOM, UDSM, SUA na vingine interview za ajira. Wakati huo tulikuwa tunaajiri kwenye institute yetu, then unapeleka majina hazina /utumishi wanaajiriwa na mishahara yao na mambo mengine.
Mnisamehe, the worst candidates were fro UDOM. Mnisamehe! best walikuwa kutoka SUA na MUHAS! Sikuwahi kukutana na CUHAS

UDOM ilikuwa shida sana tena sana. Na kweli ukienda kwenye makundi ya whatsapp ukaona presentation ya mtu kutoka ODOM , utasikitika.
To crown it all, kuna kijana ninayemfahamu, namfahamu fika sana. A weak student. Very weak so to say, Leo ni lecturer UDOM!
 
Kinachokusumbua wewe ni wivu na roho mbaya, kama unaona huruma usingekimbilia nje ungebaki kutibu watu wa nchi yako, wewe ni kati ya wale jamaa washamba sana.
Shida yako ipo hapo kwenye bold,usually maskini hatupendani jamaa angekwambia anahudumu Mwananyamala au Amana pale Ilala usingeandika ulichoandika hapo juu,what if ameenda kuongeza elimu ili aje awafundishe vizuri?!

Alichoandika mleta mada yupo sahihi sana,na hao makanjanja ndiyo wamejazana huko private nina mwanangu aliungua moto nikajichanganya kumpeleka private nilijuta.kitu hawana idea nacho wanakwambia hapa sisi ndiyo amefika huyu week tu mpya wakakaa nae siku nne hakuna walichofanya wananiambia hatumuwezi.
 
Nchi yetu hii,ukienda na mgonjwa hospital yoyote iwe Muhimbili au Aga Khan zinazoaminika,ukiambiwa kuna operations ujue ni kamari na huyo ndugu yenu haponi.....unaogea na doctor nayeye anakuomba ushauri mtu wa HKL nini kifanyike.
Kama unashida fulani na unakipato,nenda India tu,hapa Bongo unakufa huku unajiona,kuna Mama yetu alikwisha andika hadi urithi, alikuwa anatibiwa Aga Khan,baada ya mtu mmoja kushauri aende India,na wanafamilia kuchanga ili aende,alipofika kule baada ya vipimo,wakashangaa Madaktari wa Tz walikuwa wanatibu jambo ambalo si tatizo,wakashangaa sana....yule Mama baada ya miezi 2 akapona kabisa,mwezi wa tatu akarudi Bongo, anaendelea kula bata fresh kabisa

Sekta ya Afya Tz inawezekana katika vifo vya watu 100,incompetence ya wahudumu inawezekana ikawa inachangia vifo vya watu 15
 
Shida yako ipo hapo kwenye bold,usually maskini hatupendani jamaa angekwambia anahudumu Mwananyamala au Amana pale Ilala usingeandika ulichoandika hapo juu,what if ameenda kuongeza elimu ili aje awafundishe vizuri?!

Alichoandika mleta mada yupo sahihi sana,na hao makanjanja ndiyo wamejazana huko private nina mwanangu aliungua moto nikajichanganya kumpeleka private nilijuta.kitu hawana idea nacho wanakwambia hapa sisi ndiyo amefika huyu week tu mpya wakakaa nae siku nne hakuna walichofanya wananiambia hatumuwezi.
Wanachojali ni kuandika madawa mengiiii na mengine yanafanya kazi moja tu,ili mradi bills iwe kubwa,wapuuzi sana private
 
Ulipotaja CUHAS tu nikajua hujui unachokiongea. Miongoni mwa vyuo vina products zenye ubora mdogo ni CUHAS . At least KCMC inapokuja kwenye kazi za mikono na practical wanatoa Madaktari wazuri sio CUHAS
Your justification is based on which ground?
 
Nadhani tatizo lilianzia kwenye baadhi ya vyuo kuangalia pesa badala ya qualification hata hao MUHAS ni wajanja wajanja tu nilienda kuchukua fomu ya maombi kipindi kile yalikuwa yanaombwa kupitia hard copy kuna jamaa akaniambia hapo bila hela hutoboi maana kuna watoto wa wahindi na waarabu walikuwa hawana qualification za kusoma pale ila wanatoa hela tu wanaendelea na masomo kiufupi wanasiasa walivyojiiingiza kwenye biashara ya afya tu na elimu kiujumla kila kitu kikabadilika.
 
Mungu nisamehe na wote mnisamehe! Sina nia mabaya ya kufedhehesha vyuo, hapana. Nimefanyisha wanafunzi kutoka UDOM, UDSM, SUA na vingine interview za ajira. Wakati huo tulikuwa tunaajiri kwenye institute yetu, then unapeleka majina hazina /utumishi wanaajiriwa na mishahara yao na mambo mengine.
Mnisamehe, the worst candidates were fro UDOM. Mnisamehe! best walikuwa kutoka SUA na MUHAS! Sikuwahi kukutana na CUHAS

UDOM ilikuwa shida sana tena sana. Na kweli ukienda kwenye makundi ya whatsapp ukaona presentation ya mtu kutoka ODOM , utasikitika.
To crown it all, kuna kijana ninayemfahamu, namfahamu fika sana. A weak student. Very weak so to say, Leo ni lecturer UDOM!

Duh , people can’t understand

I tell you hivi vyuo vichunguzwe snaa

MUHAS wana culture sana ya sélection only critical na wanaangalia sana Hesabu during selection , ukipata A in mathe, na masomo mengine uka maintain , wanakuchungua

Sio kwamba hakuna wanao disco , Wapo wengi sababu hawasomi, MUHAS na SUA wapo makini kwenye selection
Haya machuo kama kampala imtu St. John nimekutana snaa na products zao ni catastrophic kweli kweli . Sasa policy ya nchi ni I hovyo
Mtu anaenda kusoma Afya with D na F mambo ya aibu snaa ,

Kampala [emoji24][emoji24][emoji24]hapa ndio huzuni kubwa
 
Nchi yetu hii,ukienda na mgonjwa hospital yoyote iwe Muhimbili au Aga Khan zinazoaminika,ukiambiwa kuna operations ujue ni kamari na huyo ndugu yenu haponi.....unaogea na doctor nayeye anakuomba ushauri mtu wa HKL nini kifanyike.
Kama unashida fulani na unakipato,nenda India tu,hapa Bongo unakufa huku unajiona,kuna Mama yetu alikwisha andika hadi urithi, alikuwa anatibiwa Aga Khan,baada ya mtu mmoja kushauri aende India,na wanafamilia kuchanga ili aende,alipofika kule baada ya vipimo,wakashangaa Madaktari wa Tz walikuwa wanatibu jambo ambalo si tatizo,wakashangaa sana....yule Mama baada ya miezi 2 akapona kabisa,mwezi wa tatu akarudi Bongo, anaendelea kula bata fresh kabisa

Sekta ya Afya Tz inawezekana katika vifo vya watu 100,incompetence ya wahudumu inawezekana ikawa inachangia vifo vya watu 15

Siwezi kudharau nchi yangu Tanganyika, kwa sababu inamchango mkubwa kwenye career path yetu but ukweli ni kwamba suala la Afya Tanzania lipo Zaid kwenye mikono ya mungu kuliko science , facilities and equipment ni changamoto na hata Shule za Afya ni lipo ki biashara zaid ndio maana unakuta mtu ana F anaunga na kusomeaAfya
 
Duh , people can’t understand

I tell you hivi vyuo vichunguzwe snaa

MUHAS wana culture sana ya sélection only critical na wanaangalia sana Hesabu during selection , ukipata A in mathe, na masomo mengine uka maintain , wanakuchungua

Sio kwamba hakuna wanao disco , Wapo wengi sababu hawasomi, MUHAS na SUA wapo makini kwenye selection
Haya machuo kama kampala imtu St. John nimekutana snaa na products zao ni catastrophic kweli kweli . Sasa policy ya nchi ni I hovyo
Mtu anaenda kusoma Afya with D na F mambo ya aibu snaa ,

Kampala [emoji24][emoji24][emoji24]hapa ndio huzuni kubwa
sasa hivi wanagawa uprofesa kama njugu, chunguza taona ukweli wa hili
 
Back
Top Bottom