MUHAS na CUHAS ndio vyuo bora pekee vya Afya Tanzania

MUHAS na CUHAS ndio vyuo bora pekee vya Afya Tanzania

Nchi yetu hii,ukienda na mgonjwa hospital yoyote iwe Muhimbili au Aga Khan zinazoaminika,ukiambiwa kuna operations ujue ni kamari na huyo ndugu yenu haponi.....unaogea na doctor nayeye anakuomba ushauri mtu wa HKL nini kifanyike.
Kama unashida fulani na unakipato,nenda India tu,hapa Bongo unakufa huku unajiona,kuna Mama yetu alikwisha andika hadi urithi, alikuwa anatibiwa Aga Khan,baada ya mtu mmoja kushauri aende India,na wanafamilia kuchanga ili aende,alipofika kule baada ya vipimo,wakashangaa Madaktari wa Tz walikuwa wanatibu jambo ambalo si tatizo,wakashangaa sana....yule Mama baada ya miezi 2 akapona kabisa,mwezi wa tatu akarudi Bongo, anaendelea kula bata fresh kabisa

Sekta ya Afya Tz inawezekana katika vifo vya watu 100,incompetence ya wahudumu inawezekana ikawa inachangia vifo vya watu 15
Ni zaidi ya hiyo 15 ( kwa-maoni yangu)
 
CUHAS IS TRASH..... kafanye tena research yako
Pharmacy is worst
MD is worse
 
Swali la hovyo sana halafu umejiandika una masters

If you are a doctor you will work with nurses as well as pharmacist , you will explain things to them and they will explain to you

if you are good enough both of them will be your friends

You have something to learn from pharmacist, if you don’t interact with them … you will know only what you know ,

if you think you are better than nurses …you will know only what you know


Medical field sio field ya mtu 1 sitting on chair and make it all

Ndio hapo tunapata vijana who ask
Is your family has history of failing from the trees

Hapa nilipo, it is normal thing for me to be in a constant call with pharmacist for 20minutes arguing and discussing based on the statistical data ; akinielezea why dawa niliyo prescribe is not suitable for that patient after he has gone through patient file .

He provides his literature and findings based on the data , you listen you talk and finally we reach consensus, and now you ask him , so what is your recommendation; then he provides the suitable one with hard evidence based on the statistical significance. Ndio maana hukuti medication errors kizembe because we believe kuna Verifier who is a pharmacist , hapo TZ daktari nikifanya professional error kutokana na wingi wa kazi , most of the time ndio inatembea hiyo ……..

Hapo Bongo sijawahi kukutana na hao pharmacist , na ikitokea ni mara chache chache sana , doctor tunaamini we know all , pharmacist nao wanajiona wanajua sana dawa than doctors , nurses yeye anajiona ndio mpango mzima linapokuja suala la mgonjwa and sometime they even teach doctors in the practical sense.

Mfumo wa black countries haupo organized kuwa you guys you need to work pamoja ili mgonjwa awe salama zaid . The ultimate ni afya ya mgonjwa
Asante umeelezea vyema...ila si vizuri kumshambulia mtu bali shambulia hoja na utoe shule.
 
Ulipotaja CUHAS tu nikajua hujui unachokiongea. Miongoni mwa vyuo vina products zenye ubora mdogo ni CUHAS . At least KCMC inapokuja kwenye kazi za mikono na practical wanatoa Madaktari wazuri sio CUHAS
Nimelia sana kusikia CUHAS ati inatoa best products 😄 🤣 😂 😆 😄
 
Inshort sector ya afya ya Bongo is full of MEDIOCRITY AND INCOMPETENCE
sisi ambao bado ni vijana tujitahidi kuishi maisha yenye kujali afya na tuitafute pesa kwa nguvu zote..... walau umri ukisogea mtu unakua unafly tu DUBAI kutibiwa na kucheki afya.
 
Mkuu kumbe na wewe ni mdau

Mimi nilidhani wewe ni mwanasheria
Nimesoma sheria 7 yrs before kutaafu, nina idea huwezi kunidanganya katika sheria .

Unajua University education/knowledge huwezi kuiweka kichwani yooooooooooooote. Unachotakiwa kujua ni wapi unaweza kupata majawabu na namna ya kuyapata unapokutana na swali.
 
Wakati nipo Ocean Road nikiwa TZ , nimefanya kazi na products mbalimbali kutoka vyuo tofauti, wapo wanafunzi kama intern wakiwa madaktari ambao we were training them, wengine wafamasia au nurses ….based on the experience, students from MUHAS and CUHAS were the best doctors , pharmacist and nurses .

Wanafunzi kutoka vyuo tofauti na hivyo, ni majanga makubwa unajiuliza wewe unaendaje kutibu watu au unaendaje ku deal na dawa za binadamu?

Una mwambia prospective doctor achukue pathologic history, unabaki unashika kichwa, you meet a pharmacist anamwambia mgonjwa umeze Gynozol mbili mara tatu , shame ! ( gynozol is a medication need to be inserted through vagina).

Ukiuliza umesoma wapi utaambiwa ……..,,,vyuo fulan Fulani hivi na vile vyuo ambavyo unaambiwa chuo kipo gorofa ya nne

Ni kawaida siku hizi student with Flat D akawa enrolled kwenye medical field , it is a shame CCM inaenda kuharibu hadi mfumo wa elimu ya Afya,

tuna madaktari very low intelligence can’t even reason , we have pharmacist and nurses who cannot even notice medication errors zinazokuwa committed by doctors .

Ikiwa mtu mwenye D anaenda kusoma kozi za Afya , we need to go back kwenye drawing table or else let’s all perish.

Kwa ufaulu wa sasa, kama hauna C and above ilitakiwa usiruhusiwe kusoma course za Afya level ya Diploma , watanzania wanaangamia, ever wondered why now days magonjwa ya matajiri wanaumwa masikini.

Kwa mfano hii nchi ninayoishi, the best students let’s say A plus wanaenda kusoma Veterinary na Pharmacy, then best students with A wanaenda kusoma medicine , nurses and injinia.

How come tunaruhusu D Iende kusoma medical field , hivi CCM kwanini tunapenda ku play na mambo muhimu; last time tuliona ufaulu wa madokta was catastrophic , this time tunaona ufaulu wa pharmacist ni worse, ukipitia hiyo link ya mwananchi utaona matokeo yao , a student from certain universities in TZ Kutoa MUHAS na CUHAS utaona mtu amerudi mara 6 the same exams [emoji2099], such student baadae ataenda Hosp kumshauri mgonjwa…… where are we going CCM ?

MUHAS and CUHAS are the only conservatives universities, kusoma medicine nurses au Pharmacy .

MUHAS kama huna A za kutosha kwenye qualification entry zako, my friend sahau bachelor of medicine wala famasi.

Sasa Wakikosa MUHAS au CUHAS , pakukimbilia ni hivyo vyuo vinavoleta watu wanaenda kuwaaambia wagonjwa meza gynozol au anaenda kuandika pathologie kuwa a family has a history of falling down the trees ! Shame shame shame , problem !

Qualification entry za Course za Afya lazima ziangaliweUPYA , kwa level ya diploma you must have C or above in all subjects and for bachelor tuige mfano wa MUHAS na CUHAS .

Ni Umasikini tu wa black skin , I wished kwa Tanzania vyuo vyote vinavyohusu Afya viwe ni vya Serikali, ikitokea vya private , basi viwe BEST ya vyuo vya serikali lakini pia qualification entry ziwe standardized kwa Course za Afya .

Minimum criteria ziwe ni C for diploma , na minimum criteria for bachelor iwe ni A na B tu na kusiwe na C kwenye physic’s , math , bio, chemistry otherwise, tunatengeneza bomu and in few years tujiandae the consequences

health education system must be preserved at any COST

Professional bodies , mshike hapo hapo, msipitishe Uharo kwa expenses ya watanzania wasiojua chochote masikini.

Hongereni wafamasia, na sisi Madokta tuige mfano kupiga scrutiny za kutosha,kama lichuo linachukua F au D For the sake of money , piga PIN kwenye professional exams tu.



TAFAKARI MTANZANIA !
Africa graduates and universities contribute to about 1.4% of the global scientific knowledge......kazi kujivimbisha bichwa komwe tuu akili kisoda.....kulinganisha vyuo n utopolo ...........nb nmesoma UDSM.... ....
 
Ungekutana na products ya intern Nurses na intern DRs kutoka UDOM , ungeiweka UDOM ya kwanza ,they have a lot of exposure in clinical setting and a lot of confidence 💪💪💪 UDOM is the best in Tz kwa course za afya
I second you, We are the best!
 
One difference that I noticed Ulaya vyuo vingi hakuna group presentation, mnadiscuss as group na kuandika individual paper na kupresent as an individual mbele ya darasa, unapigwa maswali hadi mbele huoni. Ukitoka hapo chuo umeiva everything you learn unaweza kuelezea kwa kichwa bila kushika kitabu.

Bongo kuna students wengi hujificha kwenye kichaka cha group presentations.
Critical thinking

You will need to reason

Kwenye elimu we don’t focus only na cognitive theory ( mfumo mwingi wa elimu ya TZ ni cognitive based only knowledge)

While mfumo wa mbele au hizi international schools ni wanafocus kwenye mambo 3

1. Psychomoteur ( to ensure students has skills may be multiple skills kwenye maisha)
2. Cognitive ( knowledge)
3. Attitudes ( to have the right attitudes )

Mfumo wa TZ una focus kwenye Cognitive tu
Psychomoteur ni zero
Attitude ni zero

Ndio hao viongozi wa TZ , unakuta mtu Rais au Waziri but still anaiba na kupiga deal .
 
Back
Top Bottom