MUHAS na CUHAS ndio vyuo bora pekee vya Afya Tanzania

Kuna mama mmoja kasoma masters china alikuwa akishindwa kazi anakimbilia utawala anawaachia wenye degree wapige kazi yaani alikuwa mweupe pee mpaka unajiuliza huyu kasoma china ya buza au

Mwingine alisoma marekani ila akafeli mtihani wa MCT

Wapo wengi
Wengine wamesoma Russia, china Poland
 

Sis watoto wa masikini tulipata A from ilboru, Mzumbe Kibaha, Zanaki, Forodhani, Azania , Kibasila, Benjamini etc Jangwani

Mazingira magumu kwa sababu nyie ni vijana wa shisha na betting

The means kwenu justify the end
 
Aisee!
Mkuu unapenda kulazimisha nadharia.
Unawazungumziaje wale wanaopata A mtihani wa taifa then chuo wana disco!?
Je,kwa uelewa wako unadhani aliyepata D mtihani wa sekondari ndio uelewa wake umeishia hapo!?
Nijibu hayo maswali mawili maana nakuona siasa nyingi sana.

Kuna Padre pio college,Mlimba college,Kilosa college hivi vyote vyuo vizuri na wahitimu wake hakuna wa cheti feki hata mmoja.
 
Wewe ndo uache misifa ya kijinga, watu wa aina yako ni hovyo sana huko makazini kazi yao kuchambua wafanyakazi wengine na vyuo walivyosoma wakati wao ni bure.

Yaani wewe ni tatizo hata uandishi mada yako unaonesha tu.

[emoji38]sawa bwana Mushi. Ila jiwe langu nimepiga gizani, not personal
Pole
 

Chuo na advance haziwezi kuwa analogy

Kupata A advance doesn’t mean chuo utafaulu kwa kukimbizana na chupi, shisha na betting

You have to sit down na usome same pace uliyotoka nayo or else you fail

Kwa ufaulu wa sasa dunia ya Ai, sikubaliana na D kuwa minimum criteria kujiunga na Afya

Makazini hao watu unaona tabu na errors wanazo commit hasa kwenye miili ya binadamu
 
Chuo na advance haziwezi kuwa analogy

Kupata A advance doesn’t mean chuo utafaulu kwa kukimbizana na chupi, shisha na betting

You have to sit down na usome same pace uliyotoka nayo or else you fail
Basi utakua ushaelewa nachomaanisha.
Pia sio kila anaefeli chuo basi anakimbizana na chupi ama starehe.
Uwe na usiku mwema mkuu.
 
Sis watoto wa masikini tulipata A from ilboru, Mzumbe Kibaha, Zanaki, Forodhani, Azania , Kibasila, Benjamini etc Jangwani

Mazingira magumu kwa sababu nyie ni vijana wa shida na betting

The means kwenu justify the end
Bahati mbaya au nzuri mimi nimesoma shule za kata zote na nilikua naufulu wa Daraja B Pote nilipopita. Lakini sehemu nilipo nipo nawengi waliosoma st Francis,Feza Kisha wakakimbilia vyuo south Africa na kwingineko huko duniani.

Kipindi Cha nyuma shule hizo ulizozitaj ndio zilikua deal maana za private zilikua chache na walioenda wengi niwaliofeli kupenye Serikalini. Lakini Kwa Sasa mazingira nitofauti anaesoma Kibaha,Kaliua secondary ukiwakusanya wanazidiana kumeza madesa tu.
 
Basi utakua ushaelewa nachomaanisha.
Pia sio kila anaefeli chuo basi anakimbizana na chupi ama starehe.
Uwe na usiku mwema mkuu.

C iwe ndio minimum Criteria,
, wapo wengi
 
Ungekutana na products ya intern Nurses na intern DRs kutoka UDOM , ungeiweka UDOM ya kwanza ,they have a lot of exposure in clinical setting and a lot of confidence [emoji123][emoji123][emoji123] UDOM is the best in Tz kwa course za afya

Mmmh no comment
 
Uliposema tu kuwa gynazol ni dawa nikakuona na wew ni wahitimu wa vyuo vya ghorofa ya nne,

Kuna miconazole Vaginal pessaries,
Wewe ndio daktari achana na huyo bado mwanafunzi yupo chuo. Akili ya daktari aliyekazini haiwezi kuwa kama ya huyo bwana mdogo.

Japokuwa mimi hua nna mizimu ya babu yangu dokita nahisi akili yake ipo kwenye ubongo wangu eti mkuu au unaonaje
 

Hakika
 
Wewe ndio daktari achana na huyo bado mwanafunzi yupo chuo. Akili ya daktari aliyekazini haiwezi kuwa kama ya huyo bwana mdogo.

Japokuwa mimi hua nna mizimu ya babu yangu dokita nahisi akili yake ipo kwenye ubongo wangu

Hakuna mnachojua

Labda wewe unaweza kujibu, umesema nimekosea kuandika jina kwamba ningeandika Generic name !
What is Generic na what is Generic brand
Innovator na Innovator brand ? Au what is INN

Ukiweza kujibu hili akili yako itatulia
 
uume
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…