Chilipamwao
JF-Expert Member
- Nov 15, 2010
- 523
- 128
Wewe huna akili, wewe una jimbo gani, acha wendawazimu wako. Kama waliamua kuwa likizo wewe inakuhusu nini? umejaa wivu tu. tunajua wewe ni CCM na naona una mahusiano na aliyekuwa mbunge wa CCM kipindi kilichopita
Sugu jimbo lake ni la wasanii akina Afande Sele, Mkoloni na wavaa heleni wengine. Jimbo la Mbeya limo likizo ya miaka 5 mpaka uchaguzi Wa 2015. Hili watu wa Mbeya wanalijua kwa vile waliamua wenyewe kutokuwa na mbunge