Muhidin Issa Michuzi atokelezea

leo maajabu mpiga picha kapigwa picha
 
Kwani huyu bwana miaka yote hiyo alikuwa hajaoa ,naona kama kaoa serengeti girls,lakini sishangai hata wa miaka 70 wanaoa wa miaka 25 maadamu mfukoni muko shwari
 
Dahhh....Mi.nilikua najua Michuzi ni kajamaa kagodogo...Kumbee ni zee zima kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…