Muhimbili wamgomea Kigwangala

Muhimbili wamgomea Kigwangala

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Haifai huyu jamaa kigeu geu,
ANA TAFUTA CHAKA ULAYA
FB_IMG_1617542610054.jpg
 
😂😂😂😂😂

Wacha tuendelee shuhudia maajabu.

Dah. Nchi hii??
 
Mi nadhani wataalam wa muhimbili wapo sahihi, na naanza kupata shida na udakitari wa mtoa hoja,

huenda kuna utafiti mpya unaoonesha kupiga nyungu hakusaidii kuondo corona lakini je,ni kweli kujifukiza kunasaidia kuondoa corona peke yake? Vipi mahoteli yenye sehemu za kujifukiza kwa majina ya "sauna bath"? na watu wanalipia kwa huduma hiyo.

mtambo huo umejengwa kwa gharama kama kazi yake ya kwanza imeisha uendelee kutumiwa kwa matumizi mengine.

Vinginevyo mheshimiwa mbunge bado ana hasira ya kupokonywa tonge la uwaziri ni hiyo sababu yake haina tija kwetu watanzania.
 
Mi nadhani wataalam wa muhimbili wapo sahihi, na naanza kupata shida na udakitari wa mtoa hoja,
huenda kuna utafiti mpya unaoonesha kupiga nyungu hakusaidii kuondo corona lakini je,ni kweli kujifukiza kunasaidia kuondoa corona peke yake? Vipi mahoteli yenye sehemu za kujifukiza kwa majina ya "sauna bath"? na watu wanalipia kwa huduma hiyo.
mtambo huo umejengwa kwa gharama kama kazi yake ya kwanza imeisha uendelee kutumiwa kwa matumizi mengine.
Vinginevyo mheshimiwa mbunge bado ana hasira ya kupokonywa tonge la uwaziri ni hiyo sababu yake haina tija kwetu watanzania.
Kigwangalla ni daktari wa kucha!
 
Alikuwa wapi mwanza, au ndio akili zilikuwa jalalani....???
 
Mbona unakaza mbavu mkuu vipi uko kitengo cha nyungu nn mbona povuuu
Nyungu tunayo huku Nzega Vijijini na sie wapiga nyungu ndio tuliomsaidia Said Nassor Bagaile a. K. a Hamis Andrea Kigwangala kupata ubunge, sasa anatusaliti, lazima ajambe cheche!
 
Kuna taarifa inayosambaa mitandaoni na inayodaiwa ni kutoka Hospital ya Muhimbili wakimjibu na kumpinga Kigwangala kuhusu wazo lake la kutaka mashine ya kupiga nyungu iondolewe.

My take:
Kama hio imekuwa ni biashara nzuri, basi tutarajie mengi.
Tupewe connection japo ya matangazo basi
 
Daudi Albert Bashite - Paul Christian Makonda.
Said Nassor Bagaile - Hamis Kigwangallah
Lameck Madelu - Mwigulu Nchemba
Erick Ngambeki - Herry James
[emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji2839][emoji2839][emoji2839][emoji3064][emoji3064][emoji3064]
 
Back
Top Bottom