mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
nyungu hatutoi.tunamuenzi marehemu.
Toeni nyungu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Toeni nyungu
acha serikali irejeshe pesa walizotumia kipindi cha msiba😆Muwe mnaandika kuliko kuweka video jamani,hamuoni Hali halisi ya bundle kuwa ni janga la kitaifa
Dah, kufungua ma video ya YouTube ni kujitaftia kilio wawe wanaandika tuBora umesema, nilitka kuandika hiki.
Msiba unanihusu Nini Mimi raia, na nimegoma kuingia baadhi ya mitandao watajijuacha serikali irejeshe pesa walizotumia kipindi cha msiba[emoji38]
Tatizo ni timing ya tamko lake ku condemn hilo banda, huyu ni mnafiq tuH
HK yuko makini hilo banda lakujifukiza ni Aibu.
Huyu jamaa ni wakupiga risasi popote alipo,mpuuzi sana,si kwaunafiki huuHaifai huyu jamaa kigeu geu,
ANA TAFUTA CHAKA ULAYAView attachment 1743166
ukinunua bando tu umechangia rambirambi. wanacollect pesa walizotumia kipindi cha msiba hukoMsiba unanihusu Nini Mimi raia, na nimegoma kuingia baadhi ya mitandao watajiju
Kwanini hamis azingezungumza wakati wa utawala wa johnPamoja na kwamba huyu Hamis sijawahi kumkubali ila majibu haya ya Muhimbili hayaridhishi.
Wanataka kutuambia kuwa zile mashine zipo pale kama sehemu ya utafiti? Je taratibu za kufanya tafiti zimefuatwa, ikiwemo kuwajulisha watumiaji kuwa ule ni utafiti? Je watumiaji wameonywa kuwa inawezekana utafiti ule unaweza kuwa na MATOKEO HASI kwenye afya zao?
Approach ya Serikali imefanya dawa za asili zionekane kama uchawi au uganga wa kienyeji. Tuki adopt taratibu sahihi, tunaweza kuziinua hizi dawa zetu kama ambavyo ni matamanio yetu wote.
Hata hizo chanjo wanazoleta zipo kwenye utafiti, hazijawahi kutumika kabla..
Sent from my Android using JamiiForums mobile app
Sijawahi kumkubali kwa hiyo I don't care about him.Kwanini hamis azingezungumza wakati wa utawala wa john
Ova
Snitch wa hatari@hkigwangala big time snitch
Angalia alichowahi kusema huko nyuma kuhusu nyungu, halafu linganisha na matamshi ya leoH
HK yuko makini hilo banda lakujifukiza ni Aibu.
Ahsante umejijibu vizuri.Utafiti wa awali ulifanywa wa hizi chanjo lakini kutokana na mahitaji ya haraka kutokana na janga hili, wameziharakisha.
Je sisi tunaweza kusema kwa kujiamni kabisa kwamba pamoja na kwamba tumekuwa na tiba hizi kwa miaka mingi, tuliwahi kufanya utafiti wa nyungu, tukapima ufanisi wake na athari zake na pia tuka DOCUMENT matokeo hayo?
Bora mchwi kuliko mnafiki! HK ni mnafiki mkubwa. HK ni Yuda Iskariote wa kizazi cha leo