Muhimbili yakanusha taarifa za uzushi kuwa muuguzi wake amefariki kwa Corona

Amaniel, stop this nonsense! Wewe huna uwezo au courage ya kusema amekufa kwa corona, stop this rubbish! Amaniel stop this nonsense! Kwahiyo hakuna restriction kumzika, ndugu wake wote anayependa ataruhusiwa kwa kuchukua tahadhali wenyewe?
 
Hivi hawa wanaozusha wanapata faida gani?
 
RIP Mtaalamu, namfahamu sana, mazishi lini? Turuhusiwe kuhudhuria mazishi, na wasizike harakaharaka kama muathirika wa COVID-19
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe mama ni mbisha kama K! Hata mumeo kama umeolewa anakazi kweli kweli!!
 
Alikuwa akiugua muda mrefu sasa iweje ghafla tena? My friends hiyo ni Corona asilimia 100. Yani ukiona mtu ana maradhi ya muda mrefu kisha kwa kipindi hiki akaugua ghafla na kufa jua kuwa mzee wa kazi Corona kashatimiza wajibu wake.

Nasikia kazikwa tayari tena na serikali na ndugu wapo karantini.

Alale pema peponi kamanda kafia kazini. Dah ilikuwa sahihi kuitenga Muhimbili japo wamechelewa.
 
Analogia Malenga,
Aminiel Aligaesha
Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano
Hospitali ya Taifa Muhimbili.

Ripoti ya Muhimbili Hospital na ufafanuzi ina mapungufu makubwa na ya msingi kabisa kuleta shaka ktk jamii na familia, sote tunajua wafanyakazi sekta ya afya wapo ktk hatari kubwa ya kuambukizwa.

Swali ambapo halijajibiwa ktk taarifa ya hospitali kuu ya taifa Muhimbili, Dar-es-Salaam je mwili wa marehemu ulifanyiwa uchunguzi autopsy https://www.mayoclinicproceedings.org/article/S0025-6196(12)64990-8/fulltext na swabs kuchukuliwa Effectiveness of Patient-Collected Swabs for Influenza Testing kujiridhisha pamoja ya kuwa marehemu alikuwa na matatizo mengine ya siku nyingi ya kiafya, majibu ya autopsy, vipimo vya swabs, damu n.k vilionyesha alikuwa Covid-19 negative ?

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…