Muhimbili yakanusha taarifa za uzushi kuwa muuguzi wake amefariki kwa Corona

Kwani Ni ajabu kwa muuguzi kufa kwa Corona, waache hizo bwana.
 
Sawa tutazipuuza lakin,swali muuguzi huyo tayari ameshazikwa?na kama tayari je maiti yake wamepewa ndugu wazike na kama bado tutaona nani atawajibika kuzika huo mwili!!! tanzania hii huu ugonjwa unaweza ukatuathiri vibaya sana kama viongozi watakalia ukweli.badala ya kuweka wazi bayana hali halisi ya huko maosptalini.
 
Wangekausha tu kama vipi mbona hao wengine wamesema presha wangekausha tungewaona wamaana sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…