MUHIMU: Kwa wale msio na Ajira kabisa hii inaweza ikawasaidia, Soma .

MUHIMU: Kwa wale msio na Ajira kabisa hii inaweza ikawasaidia, Soma .

Mstoiki

JF-Expert Member
Joined
Oct 9, 2020
Posts
4,365
Reaction score
8,384
Kwa wale ambao mkiamka hamjui mkashinde wapi.

Kwa wale ambao mmesoma na mnapambania kupata ajira.

Nimewawekea link ya group ya whatsapp hapa, kinachotakiwa ni wewe kufuatilia na kuwa Fasta.


Watu waliopo Dar wana advantage kubwa zaidi, Kazi kulingana na Level yako ya Elimu [Ualimu, Ufamasia, Marketing Officer nk]

pia ;

Kazi za ndani, Kazi za uhudumu wa Bar, Kazi za nguvu Tofauti tofauti zinapostiwa.

Hili group ni free of Charge, Ni mtu tu amefanya Charity, Kikubwa ni wewe kua attention, unaweza ukapata pa kushinda.


NB: kama kuna mdau ana Connection yeyote ongezea hapo.

VIJANA 🚨NA🧑‍⚖️AJILA/2
 
sangaone98 Chukua hizo link endelea kufuatilia huenda ukapata pa kuanzia pia ..
Ibn Unuq
Nipo hapa mchakato unaendelea na
J3 nazama mafinga alafu huku nacheki ishu humu sema sitakuwa active muda wote kulingana na muda hautanitoshea ila
Ahsant bro. Kwa kulichukulia swala langu kama lako.
 
Kwa wale ambao bado hamjui asubuhi mkiamka muelekee wapi.

Kwa wale ambao mmesoma lakini kupata ajira imekua Shughuli.

Nimewawekea link za magroup mawili hapa ya whatsapp, kinachotakiwa ni wewe kufuatilia na kuwa Fasta.


Watu waliopo Dar wana advantage kubwa zaidi, Kazi kulingana na Level yako ya Elimu [Ualimu, Ufamasia, Marketing Officer nk]

pia ;

Kazi za ndani, Kazi za uhudumu wa Bar, Kazi za nguvu Tofauti tofauti zinapostiwa.

Hili group ni free of Charge, Ni mtu tu amefanya Charity, Kikubwa ni wewe kua attention, unaweza ukaokota cha kufanya.


Kuna washikaji zangu wengi wamefanikisha kutokukaa bure kupitia hili group.


NB: kama kuna mdau ana Connection yeyote ongezea hapo.

VIJANA 🚨NA🧑‍⚖️AJILA/2
Habari niko Mwanza naomba uniunge kwenye group
 
Back
Top Bottom