Rocco sifredi
Senior Member
- Jul 15, 2023
- 100
- 197
Habari wakubwa mbele yenu ni mdogo wenu fresh graduate wa degree ya sheria Niko mkoa wa Mwanza lakini niko tayari kwenda sehemu yoyote muhitimu wa shahada ya sheria
Naomba ajira au nafasi ya internship sehemu yoyote
Nina ujuzi wa na ninaweza yafuatayo
i/ legal research and writing skills,
ii/ analytical skills,ability to analyze different and complex legal issues and provide solutions
iii/ presentation and public speaking skills
iv/ computer basics excellent.PowerPoint
NIKO TAYARI KUJIFUNZA NA KUFANYA KAZI YOYOTE AMBAYO IPO NDANI NA NJE YA TAALUMA
Natanguliza shukrani napatikana Mwanza lakini nipo tayari kwenda sehemu yoyote ile.
Naomba ajira au nafasi ya internship sehemu yoyote
Nina ujuzi wa na ninaweza yafuatayo
i/ legal research and writing skills,
ii/ analytical skills,ability to analyze different and complex legal issues and provide solutions
iii/ presentation and public speaking skills
iv/ computer basics excellent.PowerPoint
NIKO TAYARI KUJIFUNZA NA KUFANYA KAZI YOYOTE AMBAYO IPO NDANI NA NJE YA TAALUMA
Natanguliza shukrani napatikana Mwanza lakini nipo tayari kwenda sehemu yoyote ile.