Muhtasari wa kilimo cha baadhi ya mazao jamii ya kunde

Muhtasari wa kilimo cha baadhi ya mazao jamii ya kunde

year_of_pulses.jpg
Salaam sana wajasiria Kilimo,

Kujiunga katika masomo hayo tafadhali jaza fomu hii https://goo.gl/forms/wg3afYbHrEDwbGNJ2 kwa mtandao ama tuma sms ama email yenye ujumbe wenye 1. jina Lako kamili 2.Namba ya simu 3. zao unalotaka kulima ama kuzalisha 4. eneo la mradi ama jina la kijiji unataka kuweka kilimo hicho 5. Msimu wa mradi huo ama lini unaanza/ ulianza 6. Mahitaji mengine mf mbegu na ushauri wa masoko kwenda namba 0753843321 ama 0718664645 ama 0789856246 email kilimobiznet@gmail.com cc info@graduatefaemers.co.tz (KUMBUKA KUWA NA HABARI ZA KUTOSHA KUHUSU MAHITAJI YA SOKO UNALOTEGEMEA).


Ni wakati mwingine tena tukijiandaa kuanza msimu wa Kilimo cha nafaka na Mikunde pamoja na mazao mengine. Tunashukuru sana kwa wale ambao wameshanunua mbegu bora za mazao hayo kupitia Umoja wa Wakulima wahitimu (Graduate Farmers) na kutumiwa ama kuchukua mbegu hizo sehemu husika.

Kutokana na maombi ya wadau wengi wa Kilimo cha mazao ya mikunde wakiwa wanahitaji kufaham namna bora ya Kuzalisha na kusimamia miradi ya Kilimo cha mazao ya DENGU, CHOROKO, KUNDE, MBAAZI NA DENGU kampuni yetu kwa kushiriana na GRADUATE FARMERS tutakuwa na madarasa huru na ushauri elekezi wa BURE kupitia mitandao ya kijamii hasa WHATSAPP na GOOGLE GROUPS kuanzia tar 12 mwezi wa 10/2016.

Ushauri elekezi utaendana na majadiliano, maelekezo ya Sauti picha kwa Kilimo bora cha Mbaazi, dengu, kunde na choroko, mpangilio wa miradi ya uzalishaji wa mbaazi, uhifadhi na mbinu sahihi za masoko.

Karibuni sana muda wa kuomba kuwekwa kwenye kundi ni kesho saa 11 jioni.
 

Attachments

  • DSC_0059.JPG
    DSC_0059.JPG
    166.9 KB · Views: 343
  • DSC_0060.JPG
    DSC_0060.JPG
    145.2 KB · Views: 292
  • DSC_0087.JPG
    DSC_0087.JPG
    299.9 KB · Views: 267
PRODUCTION AND APPLICATION OF BIOCHAR
[emoji117]Biochar is an abbreviation for biological charcoal obtained from plants materials or crop remained after the harvest such as grasses,corns etc
[emoji117]It's produced by using special instrument called the kiln.
[emoji117]Inside the kiln is where inside the is where raw materials are put and burnt to obtain that special charcoal called biochar.
[emoji117]Biochar as a special charcoal can be applied in the farm with a special recommendation and dosage to be used as an ammendment for the recovery and improvement of the soil physical properties inorder to increase or maintain its ability to hold water for a long time and retain of the nutrients usefully by plant the process that avoid leaching and wastage of nutrients in the soil.
[emoji117]Single application of biochar maintain its function and ability as it was the first day of application in more than 100yrs,can you imagine?
[emoji117]Ammendment and fertillizer are two different things but can work together,biochar has northing with fertillizer but amendment something very important and you should keep in your mind.
[emoji117]My dear tanzanian and others outside Tanzania,it has became a serious deases now days,most of the farmer are thinking about applying fertillizers for them to get high produces and some of them fails to afford due to high price.what you should know fertillizers can't work well if soil physical properties is poor. It's a kind money and labour wastage.
[emoji117]what do think,buying expensive farm inputs every year or making biochar using cheap plants materials that could minimize the use of fertillizer to even half the recommended dosage?
[emoji117]Come with me so you understand More on:
-what is biochar
-why biochar
-How is produced
#for_biochar_training_class_as_afarmer_or_small_interpreneur
Plz Check with me
Thanks guys.
 
Habari wakuu,

Naomba ushauri kuhusu kilimo cha kunde wakuu nataka kulima Mkuranga kijiji kinaitwa Malela.

Hapo kijijini maji yapo kwa ajili ya umwagiliaji. Naombeni ujuzi.
 
Mkuu una heka ngapi huko? natafuta mtu wa kuingia nae ubia tulime mbahazi then tugawane profit!
 
Kuna babuu namjua ana heka kumi ndo katugawai na wengine na ye pia analima kuna mto
 
Mkuu una heka ngapi huko? natafuta mtu wa kuingia nae ubia tulime mbahazi then tugawane profit!
Njoo niko mkuranga, ila hakuna maji na mbaazi haihitaji kumwagiliwa.
Nina heka tano..
 
Habari za muda wana jf? Ni matumaini yangu muwazima wa afya njema kwa kudra zake Mungu.

Naomba msaada kwa wenye uelewa kuhusu zao hili la dengu kuhusu uandaji wa shamba, upandaji, utunzaji na uvunaji. pia kwa hekari moja yaweza toa magunia mangapi ya dengu? asanteni
 
na Mimi pia na shida ya kujua zao hili mwenye data na zao hili atusaidie
 
Wenye data za dengu njooni basi, mwaka huu nataka nijitose kulima dengu, lakini kabla sijafanya hivyo naomba wajuzi wa mambo mtueleweshe juu ya kilimo hiki, Ahsanteni
 
Habari za wakati wakuu, Naomba kujuzwa juu ya kilimo cha Dengu
1.Inalimwa muda gani
2.Maeneo yapi
3.Upatikanaji wa Mbegu
4.Upatikanaji wa mashamba
5.Inachukua muda gani mpaka kuvuna
6.Masoko
7.Changamoto wakati wakuchipua mpaka kuvuna
8.Kwa kuanza heka ngapi zinafaa na kiasi gani cha pesa kinafaa kuamza nacho

Karibuni wakuu kwa ufafanuzi zaidi
 
kilimo cha dengu - Google Search

Mdau kachambua vizuri kiasi kwa udongo na uzoefu wa Shinyanga,
Mimi naomba kujua wastani wa mbegu kiasi gani hutoshea kwa ekari moja (70m x 70m), pia upandaji upi ndo mzuri na wenye tija zaidi, kupanda kwa trekta ama kupanda kupanda kwa mkono?
 
Dengu inalimwa mwezi wa 3 hadi wa4 na huvunwa mwez wa 7. Kwa hekari moja hutoa gunia 3 hadi 10 za dengu kutengemea na ardhi yenyewe. Bei ya gunia hua 150,000 hadi 170,000. Dengu inalimwa kipindi cha miez 3 na haitaki mvua ila inataka ardhi yenye maji mfano sehem maji ambapo hutuama kipind cha masika uku usukukaman wanaziita "mbuga"
 
Back
Top Bottom