Acha tuKumbe ni Huyu Ninapenda sana Uigizaji wake nimeanza kumfatilia Tangu akiwa anaigiza na Joti..
Mpaka Hii Filamu Mpya alioigiza Ya NURU(DSTV) Anajua kuvaa uhalisia Sana..
R.I.E.P Duuh.
Acha tuOooh jamani ...mwee
Kweli hatuijui keshoAcha tu
KabisaKweli hatuijui kesho
Kesheni mkiomba na haitoshiba abadaniAcha tu
Ardhi inameza vingi Dr.
Da baasi itoe hiii picha,inatosha
Ndio niniInalilah wainailah rajiun
Wabongo bwana ..umaskini haufarijiki kwa namna yoyote ile.Kila nafsi itaonja umauti.
Kila nafsi itaonja umauti.Ndio nini
Basata hawakupa kipindi icho?ππππDrLemi ongala
Anaimba ,kwamba kifo kwanini hunipi taarifa nijiandae ,hakina huruma
Kifo ,kumanyookooo
Ungesema mapema nigawe Mali
Rip
Nyerere au mwinyi ilikuwa basata tosha lakini nyimbo zamwamba zenyewe kama unaakili zilikuwa zinagoma kufungiwa masela wa enzi hizo ukiona video ilikuwa nomaBasata hawakupa kipindi icho?ππππ