Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Kwa kwelisijui unasubiri nini wewe??
Muigizaji wa siku nyingi dotnata amemamua kuokoka na kuachana na pombe na sasa
ameweka maombi yake mungu amsaiidie kuondokana na marafiki zake wote walevi waliokuwa
wakimpoteza
dada dot nakupongeza kwa kusema kwa mdomo wako clouds fm maamuzi magumu lakini nakuhakikishia hutoyajutia na kw wale wanaofikiria baya juu yako m ntakuwa shahidi wa aibu yao
kila la kheri
Muigizaji wa siku nyingi dotnata amemamua kuokoka na kuachana na pombe na sasa
ameweka maombi yake mungu amsaiidie kuondokana na marafiki zake wote walevi waliokuwa
wakimpoteza
dada dot nakupongeza kwa kusema kwa mdomo wako clouds fm maamuzi magumu lakini nakuhakikishia hutoyajutia na kw wale wanaofikiria baya juu yako m ntakuwa shahidi wa aibu yao
kila la kheri