zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,930
Do you have any idea about TRINITY (God in three persons) hapa ndipo msingi wa imani ya kikristo ulipo mbona tunaposema Holy Spirit ni MUNGU hamreact mnasema wakristo wana miungu mitatu sisi tunaamini MUNGU mmoja nafsi tatu so nnapo muabudu Yesu ni sawa tu na MUNGU cause yupo ndani yake without associate phisical appearence its like we mtu unanafsi moja lakini ye MUNGU ananafsi tatu thats y tunaita imani you cant evaluate in humanity wise na huo ndo ukristo once you want to be a christian u hav to admit that!
Usinikumbushe zile system za mziki za kizamani, 3 in 1.
Usijidanganye na hesabu za kutungwa , Mungu hana haja ya ku complicate mambo, unajuwa hiyo trinity ilipachikwa lini kwenye biblia?