Muigizaji dotnata aamua kuokoka na kumfwata yesu

Muigizaji dotnata aamua kuokoka na kumfwata yesu

Yesu sio mtume bali ni mwana wa Mungu aliyeumba mbingu na nchi,naye akaja akakaa kwetu duniani katika vazi la mwili

"Mimi sikunena kwa mamlaka yangu mimi mwenyewe, ila Baba aliyenituma ndiye aliyeniamuru niseme nini na niongee nini". (Yoshua12:49)

Anaetumwa ni nani?

 
Mungu ndiye mfanyaji wa nyakati na majira juu ya uso wa nchi,Nyakati za hawa wazee wetu waliishi kwa sheria
za wakati huo,yyani mtu anaishi kwa kumpendeza Mungu na mwisho wa siku anakwenda Mbinguni.Kumbuka zipo
nyakatui watu waliishi kwa sheria ya Musa ili kumpendeza Mungu.Lakini nyakati hizi tunaishi majira ya NEEMA,yaani
wokovu unapatikana kwa neema tu baada ya kumwamini Kristo Yesu na kumpokea kuwa Bwana na mwokozi wa maisha
yako ili yeye anakupa uwezo wa kuishi maisha ya utakatifu duniani na siku ya mwisho ukifa unakwenda Mbinguni.
Kumbuka mtu kuitwa Mkristo si dini bali ina maana ni mfuasi na mwamini wa Kristo Yesu,hivyo ili uwe mkristo unapaswa
kufanya kama dada Dotnata,yaani umpokee Kristo Yesu AKUOKOE na kukufanya mpya.

Pole sana...
Salvation is final destination...hapa duniani tu wasafiri na kuwa mkristo ni justification ya wewe kuupata wokovu wakweli siku ya mwisho..tusidanganyane..
 
zomba nabii issa ndo mnaweza kumuita mtume nabii kibaka n.k as you want lakini kwenye point ya biblia Yesu (not issa bin mariam) ni MUNGU!
hivi nikianza kumchambua Muhammad (s.a.w) kwa mtazamo wa kibiblia sijui hata ntamueka wapi so we kaa na imani yako na me ya kwangu tusilazimishane kuamini kwa nguvu couse hata ukisema ni panya hautanbadili imani yangu kwa BWANA NA MWOKOZI WANGU YESU KRISTO ALIYE HAI!
 
Last edited by a moderator:
Hongera sana Dotnata,songa mbele usisikilize maneno ya watu, hapa duniani kila mtu kaja mwenyewe na ataondoka na Jeneza lake mwenyewe, cha msingi simama na tafuta kibali kwa Mungu kwa bidii si wanadamu.
 
zomba nabii issa ndo mnaweza kumuita mtume nabii kibaka n.k as you want lakini kwenye point ya biblia Yesu (not issa bin mariam) ni MUNGU!
hivi nikianza kumchambua Muhammad (s.a.w) kwa mtazamo wa kibiblia sijui hata ntamueka wapi so we kaa na imani yako na me ya kwangu tusilazimishane kuamini kwa nguvu couse hata ukisema ni panya hautanbadili imani yangu kwa BWANA NA MWOKOZI WANGU YESU KRISTO ALIYE HAI!


Hayo yote unasema wewe, biblia inasema hivi:

Yohana 17:3 imeandikwa hivi – uzima wa milele ndiyo huu wakujue Mungu wa pekee na Yesu uliyemtuma.
 
zomba nabii issa ndo mnaweza kumuita mtume nabii kibaka n.k as you want lakini kwenye point ya biblia Yesu (not issa bin mariam) ni MUNGU!
hivi nikianza kumchambua Muhammad (s.a.w) kwa mtazamo wa kibiblia sijui hata ntamueka wapi so we kaa na imani yako na me ya kwangu tusilazimishane kuamini kwa nguvu couse hata ukisema ni panya hautanbadili imani yangu kwa BWANA NA MWOKOZI WANGU YESU KRISTO ALIYE HAI!

Imani uliokuwa nayo ungemuabudu Mungu mmoja ambae huyohuyo ndio anaabudiwa na Yesu, ungekuwa karibu sana na Yesu kuliko hivi sasa unavyomtenga na unavyopingana na mafundisho yake yote.
 
Imani uliokuwa nayo ungemuabudu Mungu mmoja ambae huyohuyo ndio anaabudiwa na Yesu, ungekuwa karibu sana na Yesu kuliko hivi sasa unavyomtenga na unavyopingana na mafundisho yake yote.

Do you have any idea about TRINITY (God in three persons) hapa ndipo msingi wa imani ya kikristo ulipo mbona tunaposema Holy Spirit ni MUNGU hamreact mnasema wakristo wana miungu mitatu sisi tunaamini MUNGU mmoja nafsi tatu so nnapo muabudu Yesu ni sawa tu na MUNGU cause yupo ndani yake without associate phisical appearence its like we mtu unanafsi moja lakini ye MUNGU ananafsi tatu thats y tunaita imani you cant evaluate in humanity wise na huo ndo ukristo once you want to be a christian u hav to admit that!
 
Mungu ndiye mfanyaji wa nyakati na majira juu ya uso wa nchi,Nyakati za hawa wazee wetu waliishi kwa sheria
za wakati huo,yyani mtu anaishi kwa kumpendeza Mungu na mwisho wa siku anakwenda Mbinguni.Kumbuka zipo
nyakatui watu waliishi kwa sheria ya Musa ili kumpendeza Mungu.Lakini nyakati hizi tunaishi majira ya NEEMA,yaani
wokovu unapatikana kwa neema tu baada ya kumwamini Kristo Yesu na kumpokea kuwa Bwana na mwokozi wa maisha
yako ili yeye anakupa uwezo wa kuishi maisha ya utakatifu duniani na siku ya mwisho ukifa unakwenda Mbinguni.
Kumbuka mtu kuitwa Mkristo si dini bali ina maana ni mfuasi na mwamini wa Kristo Yesu,hivyo ili uwe mkristo unapaswa
kufanya kama dada Dotnata,yaani umpokee Kristo Yesu AKUOKOE na kukufanya mpya.

umezungumzia kwa upande wa mkristo na kwa upande wa dini nyingine je? halafu kila dini inajiona yenyewe ndio ina haki sana mbele za Mungu... tume create society hivi mimi mkristo mbele ya muislamu kwanini naona kama kafiri? mimi nilitamani sana tungeishi kama enzi za wazee wetu Ibrahimu,Musa,Nuhu.
 
zomba and tedo kwanini dini zinataka kutufanya tuishi kwa matabaka? na kila mmoja wenu anaiona imani yake ndio sahihi?
 
Last edited by a moderator:
zomba and tedo kwanini dini zinataka kutufanya tuishi kwa matabaka? na kila mmoja wenu anaiona imani yake ndio sahihi?

Mkuu, ni kweli..tungeendelea kujadili kwa mtazamo wa kusaidiana zaidi kuliko kubishana au kuona dini fulani bora sana kuliko nyingine...hii ingetusaidia hata sisi tusiofahamu kupata kitu.
 
Last edited by a moderator:
Wapendwa
mungu anawajua walio wake kabla aujaumbwa ulimwengu
yawezekana unajiona uko safi siku zako za mwisho ukawa mchafu na mbwa mwitu..na wale wanaaoonekana wachafu mungu akawainua na kuwaeguza na mwisho wa siku wanaouna ufalme wa mbinguni ..jukumu lako sasas siko hapa kukuhukumu amua sasa jiangalie ukifa utaishi maisha gani baada ya kifo..nani amekwambia kuna kutubu baada ya kifo .loh ukifa next hukumu..easy..so check ur self dada ameanza wewe lini??ila najua kama ni wakwake siku yako ipo tu
 
nioneshe andiko yesu anaposema "mimi mungu, niabuduni".

nitakuonyesha utakaponiambia kwa nini mkisikia wanakemea mapepo na majini yafe yaishie baharini mnalalamika majini yameumbwa na mungu utakiwi kuyakemea..nikupe ushuhda bibiyangu ametoka hospital juzi nikapeleka watu wapige majeshi yaani maombi kufika pale op mama mmoja amecaa ushungi akaanza kutoa machozi analia tukhisi matatizo ya familia wanaume wakapiga maombi kemea pepo alipotaja jini akaanza kulalamika mnanifukuza niende wapi mimi..sio mimi nasema nenda pale aghakan labda wakusitiri kukwambia yalimtoka majini yule mama baadae tukaachana na bibi kuokoa hii roho iliopotea ...akaombwa aaende kwenye maombi akasema aweze kesho yake wakapiga maombi waksema tunataka mwanao apone haya ni mapepo ya magonjwa..mpwa yalioongeleka wakiwa wanasali watu mi sisem..baadae mama akauliza mnakemeaje mapepeo yameumbwa na allah..majini yameumbw ana allah... M sikutaka kusikiliza zaidi nikacha wanakemea mapepo
 
Soma koran sura ya 21:7 uniambie
 
Back
Top Bottom