Jina la BWANA lihimidiwe
Kwa kwelisijui unasubiri nini wewe??
Muigizaji wa siku nyingi dotnata amemamua kuokoka na kuachana na pombe na sasa
ameweka maombi yake mungu amsaiidie kuondokana na marafiki zake wote walevi waliokuwa
wakimpoteza
dada dot nakupongeza kwa kusema kwa mdomo wako clouds fm maamuzi magumu lakini nakuhakikishia hutoyajutia na kw wale wanaofikiria baya juu yako m ntakuwa shahidi wa aibu yao
kila la kheri
ameamua kuokoka kua muislamu au Mkristo?? Pdidy.. hivi ukisoma biblia yako kuna watu kama Nuhu,Daudi,Ibrahimu,Ayubu walikua na dini gani? lakini biblia haijasema lakini imeeleza tu kua waliishi maisha ya kumpendeza mkuu na nina amini mpaka sasa wapo peponi wanakula mema.....
lakini baada ya kuja Uislamu na Ukristo kumekua na matabaka wale wa Mtume hawa wa yesu... yaani kumekua na Society.. nilipo bold hapo nipe jibu la uhakika kama utaweza
dotnata mbona ana mahangaiko,mara mkristo mara muislamu aitwe husna,mara karudi ukatoliki mara sasa kaokoka!ah
kila la kheri kwake!
Bado hajaamini,mtu na imani yako thabiti huwezi hangaika namna hiyo!
Kwa kwelisijui unasubiri nini wewe??
Muigizaji wa siku nyingi dotnata amemamua kuokoka na kuachana na pombe na sasa
ameweka maombi yake mungu amsaiidie kuondokana na marafiki zake wote walevi waliokuwa
wakimpoteza
dada dot nakupongeza kwa kusema kwa mdomo wako clouds fm maamuzi magumu lakini nakuhakikishia hutoyajutia na kw wale wanaofikiria baya juu yako m ntakuwa shahidi wa aibu yao
kila la kheri
dotnata mbona ana mahangaiko,mara mkristo mara muislamu aitwe husna,mara karudi ukatoliki mara sasa kaokoka!ah
kila la kheri kwake!
bora aokoke manake alinikosa kosa enzi za ujana...... alikuwa napenda vijana kweli......
Kwa kwelisijui unasubiri nini wewe??
Muigizaji wa siku nyingi dotnata amemamua kuokoka na kuachana na pombe na sasa
ameweka maombi yake mungu amsaiidie kuondokana na marafiki zake wote walevi waliokuwa
wakimpoteza
dada dot nakupongeza kwa kusema kwa mdomo wako clouds fm maamuzi magumu lakini nakuhakikishia hutoyajutia na kw wale wanaofikiria baya juu yako m ntakuwa shahidi wa aibu yao
kila la kheri
Bado hajaamini,mtu na imani yako thabiti huwezi hangaika namna hiyo!
Kagongwa weeeeee sasa kachakaa na ngoma juu eti anaenda clouds ameokoka. Hii nchi haikosi vituko
Kumbe Mtume Yesu anawakataza pombe, nyie mnaifakamia tu.