TANZIA Muigizaji Grace Mapunda (Tessa) amefariki dunia

TANZIA Muigizaji Grace Mapunda (Tessa) amefariki dunia

Dah apumzike kwa amani, kuna kipind aliumwa sukar akakonda sn. Alikua muigizaj mzuri wale wahenga km mnakumbuka marehemu alikua kundi moja na kina bosi masinde, mlawa, mzee korongo,muna love. Alikua anajulikana km mama Kawele na maigizo yao yalikua yanarushwa Itv enzi hizo. Pia kaigiza movie nying nying tu
Yaani kisukari kikikuamlia HIV inasubiri mwili wote unanyauka.
 
Dah apumzike kwa amani, kuna kipind aliumwa sukar akakonda sn. Alikua muigizaj mzuri wale wahenga km mnakumbuka marehemu alikua kundi moja na kina bosi masinde, mlawa, mzee korongo,muna love. Alikua anajulikana km mama Kawele na maigizo yao yalikua yanarushwa Itv enzi hizo. Pia kaigiza movie nying nying tu
Yaani kisukari kikikuamlia HIV inasubiri mwili wote unanyauka.
 
Watoto wa 2000 hawamjui huyu sisi wa 90 huko enzi ya kina kaole tunamkumbuka rest in peace mama
 
Mwigizaji Mkongwe na Maarufu nchini Tanzania, Grace Mapunda amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika Hospitali ya Mwananyamala Jijini Dar es Salaam alipokuwa amelazwa kwa matibabu.


Taarifa za kifo chake zimethibitishwa na Aziz Ahmed ambaye ni Muongozaji wa Tamthilia ambaye alikuwa akifanya naye kazi kwa ukaribu kwa muda mrefu.

Imeelezwa kua Grace hakuumwa muda mrefu, ila alipelekwa Hospitali juzi na usiku wa kuamkia leo Novemba 2, 2024 akapoteza uhai. Msiba upo nyumbani kwake Sinza Vatcan.

Ukimwi ni tatizo kubwa! Hatutashtuka tu
 
Rest well Tesa wa Huba, Mwendo umeumaliza!
 
Back
Top Bottom