ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Anatafuta kick
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
jab we met....Angalia picha inaitwa FIDA...Huyo mdada utamjua vizuri!
Labda wewe na family yako tu Ndio mko hivyoHivi kwanini dini ya uislamu inachukuliwa tofauti sana na dini zengine,yani watu hata ile kutaka kujua tu kuna nini kwenye mafundisho ya uislamu hawataki ni tofauti na ukristo ambao hata wasioamini mungu utakuta wanajua biblia vizuri tu.
China Townjab we met....
Mchina muislam ni ndigu yangu wewe ukiwa kafiri utaendelea kuwa adui tu.Acha uongo, haja hama kwenye hinduism na hana huo mpango
Halafu ndugu zako ni sisi weusi wenzako hata kama tukiwa wakristo au waislam.
Huyo kaanzishiwa uzi simply bcoz ni celebrity, nadhani ndo jukwaa husika hili so km humjui jikalie kimya ndugu.Ni nani huyu??
Mbona mgeni??
Kwa nini aanzishiwe uzi kabisa JF kwa ishu zake binafsi??
Ngoja na mimi nianzishe uzi nimenunua li bata mzinga kuubwa kwa ajili ya kuchinja Krismasi ijayo.
Hata watu wengi wanapenda kuajiriwa na hawataki kabisa kujua kuhusu kujiajiri lkn wale wachache waliojiajiri ndo wame win na kutusua, , hahahahaaaa, mfano unachoumaaaa km pasiiiiiiHivi kwanini dini ya uislamu inachukuliwa tofauti sana na dini zengine,yani watu hata ile kutaka kujua tu kuna nini kwenye mafundisho ya uislamu hawataki ni tofauti na ukristo ambao hata wasioamini mungu utakuta wanajua biblia vizuri tu.
Hebu jaribu kutafakari nilichoandika,ninachojaribu kukisema ni kwamba watu huichukulia vibaya uislamu kabla hata ya kujua yaliyomo ndani ya hiyo dini.Labda wewe na family yako tu Ndio mko hivyo
Umenielewaje kwani?Hat
Hata watu wengi wanapenda kuajiriwa na hawataki kabisa kujua kuhusu kujiajiri lkn wale wachache waliojiajiri ndo wame win na kutusua, , hahahahaaaa, mfano unachoumaaaa km pasiiiiii
Mbona kama hujiamini mkuu?Hat
Hata watu wengi wanapenda kuajiriwa na hawataki kabisa kujua kuhusu kujiajiri lkn wale wachache waliojiajiri ndo wame win na kutusua, , hahahahaaaa, mfano unachoumaaaa km pasiiiiii
I wish nione sura yakohuyu Dada ameoloewa na Saif ally khan
nafkiri mwanzo walifunga ndoa ya serikali au Hindu..
So kaamua kumfuata mumewe amabae ni muislamu!
[emoji1] kwa nn...Cole!??I wish nione sura yako
Ni nani huyu??
Mbona mgeni??
Kwa nini aanzishiwe uzi kabisa JF kwa ishu zake binafsi??
Ngoja na mimi nianzishe uzi nimenunua li bata mzinga kuubwa kwa ajili ya kuchinja Krismasi ijayo.
jukwaa la celebrities huku..Sasa akislim sisi inatuhusu nini? Inamsaidia nini mwananchi wa same juu anayelima korosho? Au inamsaidia nini mgonjwa aliyelazwa ICU pale muhimbili? Au mmesahau ile kauli ya kwamba kila mtu atabeba mzigo wake mwenyewe? Topiki nyingine hazina kichwa wala miguu. vurugu tupu
Hivi kwanini dini ya uislamu inachukuliwa tofauti sana na dini zengine,yani watu hata ile kutaka kujua tu kuna nini kwenye mafundisho ya uislamu hawataki ni tofauti na ukristo ambao hata wasioamini mungu utakuta wanajua biblia vizuri tu.