Masikhara hayo..kuua mtu faini 700k? Duh!!Huku kwetu kuna jamaa aliua binadamu akahukumiwa kulipa faini ya 700,000/=
wapi
nani
lini
Una kumbukumbu fupi Kama mkia wa sungurawapi
nani
lini
Una kumbukumbu fupi Kama mkia wa sungura
Only woman Salmaana had ever truly loved ni Aishwarya Rai(mke wa Abisheki Batchan)sidhani km ataoa tenaChorichori chupkechupke!!!!Salumn khan play boy Mwema.
Huyu bwana anamajanga mengi sjui ni utukutu au kunamchanganyiko wa vitu anatumia.Warembo wengi kawapitia sana kiufupi alitembea na dada zetu wengi.
Kunakipindi cha nyuma yeye salumn khan na sharukh khan "king khan" walikuwa wanaushindani sana katika filamu kama ulivyo kuwa inasadikika hapa Tanzania kipindi cha steven kanumba na Ray kigosi.
Wenzake wengi wa kizazi chake walishoa na kupata watoto ila huyu bwana sjui kama kashaoa,kizazi chao hawa watu wamefanya makubwa katika filamu india.
Kama kweli katenda makosa ambayo ni kinyume cha sheria basi hakuna namna akutumikie kifungo- Jela sio kuzuri.
Tunakutakia maisha mapya katika makazi mapya Mr.salumn.
Na umri wake unazidi kusonga tu...Rai ni mrembo kweli kweli.Only woman Salmaana had ever truly loved ni Aishwarya Rai(mke wa Abisheki Batchan)sidhani km ataoa tena
100% nyumbani kwangu ni Bollywood Tu!Na umri wake unazidi kusonga tu...Rai ni mrembo kweli kweli.
Vipi huwa unapenda sana Bollywood movie's..?
Uhusiano wa Salmaan na Aishwarya ndugu wa kikeni hawakufurahia nao japo mdada alimpenda ila kingine Salmaan alikua na wivu mpk kumpiga na kumdhalilisha kimanenoNa umri wake unazidi kusonga tu...Rai ni mrembo kweli kweli.
Vipi huwa unapenda sana Bollywood movie's..?
Mhh safi sana..100% nyumbani kwangu ni Bollywood Tu!
[emoji1] [emoji1] [emoji1] nawakubali almost wakongwe wotee ukinambia kuchagua ntakufaaa[emoji1] [emoji1] [emoji1]Mhh safi sana..
Kidogo mimi nimekuwa mvivu sasa wa kufatilia tofauti na miaka ya nyuma na toka 2011 miaka saba natazama kwa uchache mno.
Ule uhasama wa salumn na king khan unaufahamu vyema..?
Wewe muigizaji gani unamkubali Bollywood..?
Hahaha[emoji1] [emoji1] [emoji1] nawakubali almost wakongwe wotee ukinambia kuchagua ntakufaaa[emoji1] [emoji1] [emoji1]
Ntakupa sababu ya ugomvi wao japo Rai nae alichangia pia maana Salmaan alihis King khan na Rai wanatoka
Kuna muvu yake moja inaitwa the return of...... Nmesaau kdg balaa umoOnly woman Salmaana had ever truly loved ni Aishwarya Rai(mke wa Abisheki Batchan)sidhani km ataoa tena
Nilikua njiani kidogooHahaha
vipi kunachipukizi ambao wanaweza kufikia walau ubora wa hawa wakongwe(Sunir shetty,Akshey Kumar,salumn,Khan,sunny deo,boby deo,n.k)..?
Lakini Kuna kipindi cha nyuma salumn na khan walikuwa marafiki sana..? (Kama kumbukumbu zangu zipo sahihi..)
Ugomvi wao ulianza kama utani vile kwenye birthday ya Katrina Kaif ambae ni ex girlfriend wa Salmaan kwa sasa ambapo SRK alimuongelea Ex girlfriend wake Salmaan Aishwarya Rai Salmaan akachukia wakaanza kutupiana maneno mpk kufikia kupondana kuhusu their reality show ambazo they hosting back thenHahaha
vipi kunachipukizi ambao wanaweza kufikia walau ubora wa hawa wakongwe(Sunir shetty,Akshey Kumar,salumn,Khan,sunny deo,boby deo,n.k)..?
Lakini Kuna kipindi cha nyuma salumn na khan walikuwa marafiki sana..? (Kama kumbukumbu zangu zipo sahihi..)
100% nyumbani kwangu ni Bollywood Tu!
Mhh safi sana..
Kidogo mimi nimekuwa mvivu sasa wa kufatilia tofauti na miaka ya nyuma na toka 2011 miaka saba natazama kwa uchache mno.
Ule uhasama wa salumn na king khan unaufahamu vyema..?
Wewe muigizaji gani unamkubali Bollywood..?
[emoji1] [emoji1] [emoji1] nawakubali almost wakongwe wotee ukinambia kuchagua ntakufaaa[emoji1] [emoji1] [emoji1]
Ntakupa sababu ya ugomvi wao japo Rai nae alichangia pia maana Salmaan alihis King khan na Rai wanatoka