Dominic Toretto
Member
- Apr 7, 2018
- 99
- 83
kwamba anaua swala wakat binadam waponanini mkuu?
dah mkuu kwa kweli nimeshanga sanaa ... bin adam niwengi kuliko swala.kwamba anaua swala wakat binadam wapo
Poa bestmale ngoja niwasiliane naye aanze na wewe maana yupo uraiani saiz na wala sio jela tenadah mkuu kwa kweli nimeshanga sanaa ... bin adam niwengi kuliko swala.
hahahahaahhaa hahahahahahaPoa bestmale ngoja niwasiliane naye aanze na wewe maana yupo uraiani saiz na wala sio jela tena
Mkuu accident inaweza kukuta hata wewe ukagonga bila kukusudia au kosa likawa la mtu aliiegongwa kuuwa wanyama ni kosa lililo wazi kwani mtuhumiwa alichukua bunduki na kuwalenga na kuwauwa hauoni ilo ni kosa la kukusudia.Yaan binadamu bwana,salman aliua mtu hakupewa hukumu hii ila kaua wanyama anatupwa jela miaka yote hio aiseee
Umeoiona Kabhi alvida nah kehnaa
Hahaha Kuna jamaa zangu walikuwa wanamuita mbabe wa india.
Kuna filamu alicheza kama mtukutu/mbabe aliyesurrender kwa penzi la kimwana.
View attachment 736530
Filamu nzuri sana, hata hiiMoja Movie nayo ipenda kupindukia