Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,378
- 56,047
Sanjay DutIndia nazan kuna mambo ya siasa maana kuna mmoja alihusishwaga na mlipuko wa mabomu na magaidi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sanjay DutIndia nazan kuna mambo ya siasa maana kuna mmoja alihusishwaga na mlipuko wa mabomu na magaidi
SanjidatiIndia nazan kuna mambo ya siasa maana kuna mmoja alihusishwaga na mlipuko wa mabomu na magaidi
Sasa hivi ana 52?kuna movie moja inaitwa ..god tusie great ho...acha kabisaaa Jamaa kaua sana mle....duuhh sema kala chumvi mnoo 52yrs sio mchezo aisee
ndio mkuu """Sasa hivi ana 52?
Kwa sisi wenye uzoefu na india kuuwa mtu cyo issue ......ila mnyama inaweza kukucost hata mbwa kumgonga unaweza uwawa ila kwa binadamu cyo kesi sana ....nimeandika kwa uzoefu niliopata hukoYaan binadamu bwana,salman aliua mtu hakupewa hukumu hii ila kaua wanyama anatupwa jela miaka yote hio aiseee
Wakipewa adhabu Kali Yule wa Ubelgiji anaanza kuwatetea Na kupingahuku kwetu hukumu ingekuwa ni kwenda jela miaka 20 au kulipa fine 1,500,000/=
Wakipewa adhabu Kali Yule wa Ubelgiji anaanza kuwatetea Na kupinga
wewe shetani wa kikeSaaafi sana
Dada upo?umeadimika sanaSalman Khan ana majanga, miaka michache ilopita pia si alikua na kesi alimgonga mtu na gari? Sijui aliua.
Minaona walikuwa seba na jeblasi.Bila shaka atakuwa sunjay dutty