Muigizaji pekee ninayempenda Michele Rodiguez ambaye anafanya kazi yake vizuri kufikia kiasi cha kunivutia kuwa karibu nae

Muigizaji pekee ninayempenda Michele Rodiguez ambaye anafanya kazi yake vizuri kufikia kiasi cha kunivutia kuwa karibu nae

Hata mimi hapo nikifika kwa wazungu na tabia zao nachoka mwanamke mzuri kama huyu eti ni lesbian dah angekuwa karibu yangu ulesbian ungeisha mapema angebadilisha stori ya maisha yake
"Whites are Hybrid for Humans and Demons"
 
Ndio mkuu angalia kwanza life style zao kama za wanaume wa dar vile halafu ukizingatia alizaliwa kwenye mazingira ya jeshini na kulelewa na mama ake akiwa wa kipekee inaonekana malesbian huwa kuna kitu huku nyuma kime waathili wae hivyo
Wanasemaga hua wamepitia manyanyaso ya kingono ivyo kupelekea kua ivyo
 
Kivipi mkuu? Mi sijawahi kuvutiwa na same sex na haitakuja kutokea.


kuvutiwa na same sex
Yiyiyi!
1,2,3
Kwenye windo nipo cool sina pressure kama chatu, no hofu feeling yo! Yo bro usihisi mi ni fyatu
Kwa maneno sina brake, white boy wananiita Drake,
Moyoni nina upole ila usoni huwa sicheki

Ukweli upo wazi huwa haumulikwi na torch,
Nakukumbusha tu bro usione kwamba naku' coach
Sexual healing
Na feeling yo za Marvin'Gaye, Najua we straight boy mwana na hau'support u' Gay
Plus u' lesbian sijui yote ni jamii moja(?)
Maneno ya Kingeli sometimes yanalet vihoja

Kichwani umejawa na ndoto lukuki
Za kugonga demu msagaji mpaka ghetto atoke nduki
Ukimpata
usisahau na vumbi la Congo
Na uke ungekuwa na macho purukushani yake angetoka chongo

Eeebhana Eehh! Mi nakuzingua tu mwanangu.
 
Kivipi mkuu? Mi sijawahi kuvutiwa na same sex na haitakuja kutokea.


kuvutiwa na same sex
Bro! Kuna kitu natizama hapa kipo bomba sana kama ukihitaji kuongeza madini kuhusu Dunia yetu. Ni on contact: war with russia? w/ Prof. Stephen F. Cohen

Itizame RT America. Samahanini kwa kuwa nje ya Topic waungwana.
 
Yiyiyi!
1,2,3
Kwenye windo nipo cool sina pressure kama chatu, no hofu feeling yo! Yo bro usihisi mi ni fyatu
Kwa maneno sina brake, white boy wananiita Drake,
Moyoni nina upole ila usoni huwa sicheki
Ukweli upo wazi huwa haumulikwi na torch,
Nakukumbusha tu bro usione kwamba naku' coach
Sexual healing
Na feeling yo za Marvin'Gaye, Najua we straight boy mwana na hau'support u' Gay
Plus u' lesbian sijui yote ni jamii moja(?)
Maneno ya Kingeli sometimes yanalet vihoja
Kichwani umejawa na ndoto lukuki
Za kugonga demu msagaji mpaka ghetto atoke nduki
Ukimpata
usisahau na vumbi la Congo
Na uke ungekuwa na macho purukushani yake angetoka chongo
Eeebhana Eehh! Mi nakuzingua tu mwanangu.
😂😂😂😂😂😂
U got me dude
 
Bro! Kuna kitu natizama hapa kipo bomba sana kama ukihitaji kuongeza madini kuhusu Dunia yetu. Ni on contact: war with russia? w/ Prof. Stephen F. Cohen
Itizame RT America. Samahanini kwa kuwa nje ya Topic waungwana.
Hiyo ni documentary?
 
Hiyo ni documentary?
Hapana! Ni mahojiano, ni moja ya kipindi cha RT America kinachoendeshwa na Chris Hedges. Yalifanyika may 26, 2019. Huyu Prof. Stephen F. Cohen ni Professor of Russian Studies and History Emeritus at NY University.

Ni Professor ambaye anayejua kutofautisha baina ya opinion na fact. Yupo vizuri.
 
Hapana! Ni mahojiano, ni moja ya kipindi cha RT America kinachoendeshwa na Chris Hedges. Yalifanyika may 26, 2019. Huyu Prof. Stephen F. Cohen ni Professor of Russian Studies and History Emeritus at NY University.
Ni Professor ambaye anayejua kutofautisha baina ya opinion na fact. Yupo vizuri.
Sawa mkuu ntamcheki YouTube huko kwenye ma TV siwezi kufika
 
Tutumie hata screen shot
Bro! Kuna kitu natizama hapa kipo bomba sana kama ukihitaji kuongeza madini kuhusu Dunia yetu. Ni on contact: war with russia? w/ Prof. Stephen F. Cohen

Itizame RT America. Samahanini kwa kuwa nje ya Topic waungwana.
 
Back
Top Bottom