Mkuu mpe heshima yake Akshay Khanna, ni katika finest actors of his generation, performance zake kwenye section 375 na Ittefak ni amazing kabisa. Tatizo lenu mnapenda warusha magumi na waimba nyimbo.
Mtu aliemfunika Aamir Khan kwenye Dil Chahta hai hawezi kuwa mtu wakawaida kabisa
Vinod Khanna na Sunil Dutt ndio mastaa pekee waliozaa watoto wenye vipaji vikubwa hata vya kuwashinda wazee wao..
Waafrika wanaenda India kutibiwa Moyo, yeye ameenda NY kutibiwa CancerNimesoma hapo kuwa amewahi kutoka India kwenda New York kwa ajili ya matibabu, ingawa kuna waafrika wanategemea kwenda India kutibiwa kwa tatizo hilo hilo.
Wapo waafrika wanaoenda kutibiwa cancer huko huko IndiaWaafrika wanaenda India kutibiwa Moyo, yeye ameenda NY kutibiwa Cancer
Sent using Jamii Forums mobile app
Sure mkuu ulichoongea kweli kabisaMkuu wahindi maisha yao hayana tofauti na WAAFRICA,, humo Bollywood wamejazana madarictors WAHUNI KWA NGONO,,na wenye majina makubwa,,,hupati nafasi ya kucheza movie kama HUTAKI KUGEGEDWA,,au uwe na JAMAA ZAKO HUMO NDNI..mfano hao akina KAPOOR,, KHAN,,SHETTY,,BACHACHAN,, baba zao au uncle zao ni nguli wa Bollywood... Ndy maana wanapenya kirahisi,,,wengine ukubali KULIWA...na wanawala kweli watoto wazuri na nafasi bado hawapati.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha yaani ni Khan na Kapoor au Shetty au Sharma wakisogea kidogo inakuwa Kumar then Kuna bachachan na devganKama huna ndugu au sio Miss au hautoki notable family hutoboii!!
Yaani ni walewale tu kwa sasa vibinti vinavyochupika vipo;
Sara Ali Khan
Jhanvi Kapoor
Ananya Pandey
Alia Bhatt
Hao wote baba zao mastaa wakubwa
Na naskia Kjo anataka amlunch Aryan Khan na Khushi Kapoor
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hata namesake nayo Ina matasio Rahisi kutoboa Bollywood industry ina ugumu sana Producers wanawala sana Heroine (wadada) ili wawa Cast kwenye movies
Star mmoja tu ambaye alidai hakuwa na Godgather Bollywood na alitoboa ni Preity Zinta wengine uwe na Godfather, ukoo wenu, au Upanue UPAJA Mkwaju WAJA
Sent using Jamii Forums mobile app
Infact abishek hajui kabisa kuigiza jina linambebaHahahahahah!!!jamaa unampenda Akshay Khanna minamuoga wa kawaida jitu ambalo halijuagi kuigiza ni Abhishek Bacchan linabebwa tu na jina la wazazi wake
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3]kule kujuana tu watoto wa kike wanatumika mnoo!ndo maana wengine wameamua kua kwenye small screen TV shows hizi maana Bollywood INA wenyewe jitu kama Abhishek halijui kuigiza lakini anapewa platform kushinda Sidh Malhotra kwa kua hana mtuHahahaha yaani ni Khan na Kapoor au Shetty au Sharma wakisogea kidogo inakuwa Kumar then Kuna bachachan na devgan
Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu wahindi maukoo makubwa kama waarabu mtoto wa babu,bibi mjomba bassi ukoo mzima mpk waigize mwenzangu na miye kama hujulikani umechundaa!
Viwango kaka viwango!!!!Nimesoma hapo kuwa amewahi kutoka India kwenda New York kwa ajili ya matibabu, ingawa kuna waafrika wanategemea kwenda India kutibiwa kwa tatizo hilo hilo.
Sure mkuu ulichoongea kweli kabisa
Huwa najiuliza inakuawaje kila muigizaji wa India jina ni Khan au Kapoor
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna mkuu bado zipo sana tu,,tatizo ni directors.. Now sio wabunifuStory za mapenzi zimeisha duniani zote zishamalizwa ni kujirejea tu.
Yaani kama kuna watu self made hao uliowataja SRK,Irfan,Nawaz NA Manoj ndo the real definition of Selfmade maana walikotokea daahh!!!Kuna dogo anaitwa Sidhart Malhotra yuko poa ila hatoki notable family daahh!anabaniwa ile ile yaani!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahaha!!! mzee wa KKKK NNE
Kuch Much Hotae
Kahona pyar hai
Kabhi Khushi Kabhi Ghaam
Kabhi Alvida Naa Kehna!!!
Katika maproducer wengine nnaowakubali Sanjay Leela Bhanusali
Na yule wa Kusini SS Ramjoul
Kjo(Karan Johar)
Hash ilikua zamani sasa hivi hana kitu
Kuna mmoja mmemsahau
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3]kule kujuana tu watoto wa kike wanatumika mnoo!ndo maana wengine wameamua kua kwenye small screen TV shows hizi maana Bollywood INA wenyewe jitu kama Abhishek halijui kuigiza lakini anapewa platform kushinda Sidh Malhotra kwa kua hana mtu
Au Suraj Pancholi hajui kabisaa yaani lakini ndo anapewa scenes acheze
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3]kule kujuana tu watoto wa kike wanatumika mnoo!ndo maana wengine wameamua kua kwenye small screen TV shows hizi maana Bollywood INA wenyewe jitu kama Abhishek halijui kuigiza lakini anapewa platform kushinda Sidh Malhotra kwa kua hana mtu
Au Suraj Pancholi hajui kabisaa yaani lakini ndo anapewa scenes acheze
Sent using Jamii Forums mobile app
Ki ukweli hata mimi Abhishek namuona kama jina la ukoo ndilo linalombeba zaidi na sio umahiri wake mwenyewe.[emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3]kule kujuana tu watoto wa kike wanatumika mnoo!ndo maana wengine wameamua kua kwenye small screen TV shows hizi maana Bollywood INA wenyewe jitu kama Abhishek halijui kuigiza lakini anapewa platform kushinda Sidh Malhotra kwa kua hana mtu
Au Suraj Pancholi hajui kabisaa yaani lakini ndo anapewa scenes acheze
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah sisi wana Bollywood hili wiki la huzuni kwetu. Pole sana wana familia ya Mzee Kapoor, pole kwake Ranbir kapoor kwa kufiwa na mzee wake.