Muigizaji Rishi Kapoor afariki Dunia

Muigizaji Rishi Kapoor afariki Dunia

Hahahahahah!!!jamaa unampenda Akshay Khanna minamuoga wa kawaida jitu ambalo halijuagi kuigiza ni Abhishek Bacchan linabebwa tu na jina la wazazi wake
Mkuu mpe heshima yake Akshay Khanna, ni katika finest actors of his generation, performance zake kwenye section 375 na Ittefak ni amazing kabisa. Tatizo lenu mnapenda warusha magumi na waimba nyimbo.

Mtu aliemfunika Aamir Khan kwenye Dil Chahta hai hawezi kuwa mtu wakawaida kabisa

Vinod Khanna na Sunil Dutt ndio mastaa pekee waliozaa watoto wenye vipaji vikubwa hata vya kuwashinda wazee wao..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu wahindi maisha yao hayana tofauti na WAAFRICA,, humo Bollywood wamejazana madarictors WAHUNI KWA NGONO,,na wenye majina makubwa,,,hupati nafasi ya kucheza movie kama HUTAKI KUGEGEDWA,,au uwe na JAMAA ZAKO HUMO NDNI..mfano hao akina KAPOOR,, KHAN,,SHETTY,,BACHACHAN,, baba zao au uncle zao ni nguli wa Bollywood... Ndy maana wanapenya kirahisi,,,wengine ukubali KULIWA...na wanawala kweli watoto wazuri na nafasi bado hawapati.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sure mkuu ulichoongea kweli kabisa

Huwa najiuliza inakuawaje kila muigizaji wa India jina ni Khan au Kapoor

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama huna ndugu au sio Miss au hautoki notable family hutoboii!!
Yaani ni walewale tu kwa sasa vibinti vinavyochupika vipo;
Sara Ali Khan
Jhanvi Kapoor
Ananya Pandey
Alia Bhatt
Hao wote baba zao mastaa wakubwa
Na naskia Kjo anataka amlunch Aryan Khan na Khushi Kapoor

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha yaani ni Khan na Kapoor au Shetty au Sharma wakisogea kidogo inakuwa Kumar then Kuna bachachan na devgan

Sent using Jamii Forums mobile app
 
sio Rahisi kutoboa Bollywood industry ina ugumu sana Producers wanawala sana Heroine (wadada) ili wawa Cast kwenye movies

Star mmoja tu ambaye alidai hakuwa na Godgather Bollywood na alitoboa ni Preity Zinta wengine uwe na Godfather, ukoo wenu, au Upanue UPAJA Mkwaju WAJA

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hata namesake nayo Ina mata

Ukichagiza na hayo mengine

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahaha yaani ni Khan na Kapoor au Shetty au Sharma wakisogea kidogo inakuwa Kumar then Kuna bachachan na devgan

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3]kule kujuana tu watoto wa kike wanatumika mnoo!ndo maana wengine wameamua kua kwenye small screen TV shows hizi maana Bollywood INA wenyewe jitu kama Abhishek halijui kuigiza lakini anapewa platform kushinda Sidh Malhotra kwa kua hana mtu
Au Suraj Pancholi hajui kabisaa yaani lakini ndo anapewa scenes acheze

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ile ni network yao..mtoto akikua anarithishwa uigizaji,,,hata kama hana kipaji kikubwa mradi a natumia jina FULANI LA UKOO,,,,jina litambeba,,,kuna wahindi wana vipaji vya kuimba na kuigiza lakini hawapewi nafasi ya kufanya hivyo
Sure mkuu ulichoongea kweli kabisa

Huwa najiuliza inakuawaje kila muigizaji wa India jina ni Khan au Kapoor

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani kama kuna watu self made hao uliowataja SRK,Irfan,Nawaz NA Manoj ndo the real definition of Selfmade maana walikotokea daahh!!!Kuna dogo anaitwa Sidhart Malhotra yuko poa ila hatoki notable family daahh!anabaniwa ile ile yaani!

Sent using Jamii Forums mobile app

Irfan ilimchukua miaka 15 mpaka kupata proper role
Nawaz ilimchukua miaka 14 mpaka alipopata proper role ya film
 
Hahahahaha!!! mzee wa KKKK NNE
Kuch Much Hotae
Kahona pyar hai
Kabhi Khushi Kabhi Ghaam
Kabhi Alvida Naa Kehna!!!

Katika maproducer wengine nnaowakubali Sanjay Leela Bhanusali
Na yule wa Kusini SS Ramjoul
Kjo(Karan Johar)
Hash ilikua zamani sasa hivi hana kitu
Kuna mmoja mmemsahau



Sent using Jamii Forums mobile app

kuna kijana mmoja kwa sasa anamiliki kampuni ya Maddok films, dah jamaa yupo vizuri sana
 
[emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3]kule kujuana tu watoto wa kike wanatumika mnoo!ndo maana wengine wameamua kua kwenye small screen TV shows hizi maana Bollywood INA wenyewe jitu kama Abhishek halijui kuigiza lakini anapewa platform kushinda Sidh Malhotra kwa kua hana mtu
Au Suraj Pancholi hajui kabisaa yaani lakini ndo anapewa scenes acheze

Sent using Jamii Forums mobile app
Infact abishek hajui kabisa kuigiza jina linambeba

Sent using Jamii Forums mobile app

Tafazalini mpeni heshima yake Abhishek, alifail as a star, lakini as an actor jamaa amejitahidi. huwez mfananaisha kabisa na hivi vitakataka viliopo saivi.

Nazisubiri kwwa ham filamu zake zinazofuata The Big Bull na Bob Biswas.
 
[emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3]kule kujuana tu watoto wa kike wanatumika mnoo!ndo maana wengine wameamua kua kwenye small screen TV shows hizi maana Bollywood INA wenyewe jitu kama Abhishek halijui kuigiza lakini anapewa platform kushinda Sidh Malhotra kwa kua hana mtu
Au Suraj Pancholi hajui kabisaa yaani lakini ndo anapewa scenes acheze

Sent using Jamii Forums mobile app

huyo Suraj Pancholi ni ovyo kabisa
 
[emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3]kule kujuana tu watoto wa kike wanatumika mnoo!ndo maana wengine wameamua kua kwenye small screen TV shows hizi maana Bollywood INA wenyewe jitu kama Abhishek halijui kuigiza lakini anapewa platform kushinda Sidh Malhotra kwa kua hana mtu
Au Suraj Pancholi hajui kabisaa yaani lakini ndo anapewa scenes acheze

Sent using Jamii Forums mobile app
Ki ukweli hata mimi Abhishek namuona kama jina la ukoo ndilo linalombeba zaidi na sio umahiri wake mwenyewe.
Kwenye mfululizo wa movie za DHOOM ile nafasi alioigiza alipwaya vibaya sana naamini ile nafasi laiti ingelipata muigizaji mahiri angefunika sana.
Lakini msela alifunikwa kote kote,kule kwa Aamir Khan na kule kwa Rhitik Roshan.
Jamaa ni muigizaji wa kawaida sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
alafu mungu fundi sana nshawah opoa dem kwa kuimba wimbo wa kihindi, koi mere dilda haal najane raba, ila mtu ninaye mkubali ajey devgan hasa ile movie aliuwa mtu akaenda mfukia kituo cha polisi mwisho polisi walipata ushahid wa mtu kuuwawa ila hawajui wap kazikwa
 
Back
Top Bottom