Muimba wa Gospel Bela Kombo jitafakari, mavazi yako si ya Staha

Vepe hiyo tatoo kifuani
 
mtalaka huyu labda anatafuta my husband wake mwingine yupo sokoni Biashara matangazo
 
Rahisisha hii story yako tuelewe kwa umakini zaidi
 
😆😆😆😆
 
Mimi huyu dada sijawahi mwamini kama kweli anamsifu Mungu wake ...huyu kajchomeka upande huo coz aliharibu sana cv yake .juzi kwenye uzinduzi wa Duka la Christna Shusho alivaa jumpsuit imemchora toe camel balaa...argh kichrfchefu
Camel toe
 
Acheni kufanya maisha ya kumsifu Mungu kuwa magumu.
Vitabu vyenu vinasema binadamu wa kwanza walikuwa wanaishi na kutembea bila nguo kabisa ndani ya bustani.

Mungu mwenyewe alipenda binadamu awe hivyo Hadi alipokosea mwanadamu kutaka ujuaji Kama wako huu wa kujiona yupo uchi.
Mungu akamuuliza Adam Nani kakuambia upo uchi?
 
Wivuuuuuuu
Wivu mama wivu
Wivuuuuuuu🎼🎼🎼
 
Unamaanisha vazi kwenye hiyo picha?

Nakukemea, acha afanye anachowasiliana na Mungu wake. Vipi ikiwa Mungu wake na wako ni tofauti halafu unamkemea kwa viwango vya Mungu wako?
 
Mmh! Hapo hata mbwana yesu atagoma kurudi sio kwa vazi hilo
 
Unamlaumu kabla au baada ya kuokoka?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…